Wewe tubet tuu...Kwahiyo naogopa najua ni yaleyale
ooooh nimeshaanza kukumba sawaaa ni kweliiii
Wewe tubet tuu...
Hawapiti..Kuwa unabisha england hawatapita leo
Hawapiti..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Vizuri kama umekumbuka
sawa shunie basii andaa kalist ketu ambao hatusifiwi suraa bali naniliuuu
ohooo sawaa ngojaa ajeeNasifiaje siwajui mm ngoja demiss atawasifia
DohMahandsome huwa wanawapenda hata na wanaume wenzao
Mbona sisi wazee hatumo?!!Ndo wenyewe haooo
DusheeMakagale ndo manini mkuu