Hawa ndo Marais wabovu zaidi kuwahi kutokea Marekani. Donald Trump yupo kwenye top 3

Hawa ndo Marais wabovu zaidi kuwahi kutokea Marekani. Donald Trump yupo kwenye top 3

Wakuu habarini za muda huu,

Kwenye raundi zangu mbili tatu huko mtandaoni, nilikutana na article kutoka CBS News ambayo inaelezea wakina nani walikuwa na marais wabovu zaidi kuwahi kutokea Marekani, tangu nchi hiyo kupata uhuru mwaka 1776.

Kulingana na CBS News, Rais mbovu na dhaifu kuwahi kutokea Marekani ni Andrew Johnson (1865 to 1869) akifuatiwa na James Buchanan (1867 to 1861) then Donald Trump (2017 to 2021)

Hii ndio top 10 ya Marais wabovu zaidi Marekani:

1. Andrew Johnson (1865-1869)​

2. James Buchanan (1857-1861)​

3. Donald Trump (2017-2021)​

4. Warren G. Harding (1921-1923)​

5. Franklin Pierce (1853-1857)​

6. William Henry Harrison (1841)​

7. John Tyler (1841-1845)​

8. Millard Fillmore (1850-1853)​

9. Herbert Hoover (1929-1933)​

10. Zachary Taylor (1849-1850)​

Soma Pia: Russia ndio wanaichagulia Marekani Rais akiwa tofauti wanamng'oa

Unadhani Donald Trump anafaa kuwa kwenye orodha hii wamemuonea?
Alipaswa kwa no moja
 
Wakuu habarini za muda huu,

Kwenye raundi zangu mbili tatu huko mtandaoni, nilikutana na article kutoka CBS News ambayo inaelezea wakina nani walikuwa na marais wabovu zaidi kuwahi kutokea Marekani, tangu nchi hiyo kupata uhuru mwaka 1776.

Kulingana na CBS News, Rais mbovu na dhaifu kuwahi kutokea Marekani ni Andrew Johnson (1865 to 1869) akifuatiwa na James Buchanan (1867 to 1861) then Donald Trump (2017 to 2021)

Hii ndio top 10 ya Marais wabovu zaidi Marekani:

1. Andrew Johnson (1865-1869)​

2. James Buchanan (1857-1861)​

3. Donald Trump (2017-2021)​

4. Warren G. Harding (1921-1923)​

5. Franklin Pierce (1853-1857)​

6. William Henry Harrison (1841)​

7. John Tyler (1841-1845)​

8. Millard Fillmore (1850-1853)​

9. Herbert Hoover (1929-1933)​

10. Zachary Taylor (1849-1850)​

Soma Pia: Russia ndio wanaichagulia Marekani Rais akiwa tofauti wanamng'oa

Unadhani Donald Trump anafaa kuwa kwenye orodha hii wamemuonea?
Nilifikiri kuwa utaandika pia kuwa ubovu wao ulitokana na nini, kumbe ni copy & paste. Too pathetic!
 
Nilifikiri kuwa utaandika pia kuwa ubovu wao ulitokana na nini, kumbe ni copy & paste. Too pathetic!
Nadhani hajui hii ni cheap campain kwa watu wenye akili ndogo. Usikute hata yeye hajui wabovu kwa sababu gani? Kaibeba tu.
 
Nadhani hajui hii ni cheap campain kwa watu wenye akili ndogo. Usikute hata yeye hajui wabovu kwa sababu gani? Kaibeba tu.
Ni kweli mkuu huyu dogo kabeba vitu ambavyo hata hawezi kuelezea kwa ufasaha. Eti kapiga raundi mbili tatu mtandaoni, kakutana na CBS News.
 
Mwaka 1840 unataka tujadili leo. Hatuko serious kabisa.
 
Wakuu habarini za muda huu,

Kwenye raundi zangu mbili tatu huko mtandaoni, nilikutana na article kutoka CBS News ambayo inaelezea wakina nani walikuwa na marais wabovu zaidi kuwahi kutokea Marekani, tangu nchi hiyo kupata uhuru mwaka 1776.

Kulingana na CBS News, Rais mbovu na dhaifu kuwahi kutokea Marekani ni Andrew Johnson (1865 to 1869) akifuatiwa na James Buchanan (1867 to 1861) then Donald Trump (2017 to 2021)

Hii ndio top 10 ya Marais wabovu zaidi Marekani:

1. Andrew Johnson (1865-1869)​

2. James Buchanan (1857-1861)​

3. Donald Trump (2017-2021)​

4. Warren G. Harding (1921-1923)​

5. Franklin Pierce (1853-1857)​

6. William Henry Harrison (1841)​

7. John Tyler (1841-1845)​

8. Millard Fillmore (1850-1853)​

9. Herbert Hoover (1929-1933)​

10. Zachary Taylor (1849-1850)​

Soma Pia: Russia ndio wanaichagulia Marekani Rais akiwa tofauti wanamng'oa

Unadhani Donald Trump anafaa kuwa kwenye orodha hii wamemuonea?
George bush na Obama umewasahau. Ni killers hao
 
Propaganda tu,biden ni mbovu sana hata vita vya ukraine ndie chanzo,kila kukicha kuisaidia ukraine kwa kutumia kodi za wamarekani.
 
Jamhuri ya Wadanganyika kuna Chura wa ovyo dunia nzima.

1725995871154.png
 
Back
Top Bottom