Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikusifie 😅Eeh na wewe sifia wakwako sasa
Wa kwangu ameshanisifia😅Nikusifie 😅
Sijaona comment yake hapa😅Wa kwangu ameshanisifia😅
Hakuna kitu huyo Deepika masikio makubwa kama upawa..Ila hawa wenzetu sijui uzuri wao huwa wanaangalia nini mimi hapo naona wa pili ndo mzuri zaidi na labda Deepika
Na tutako twao tumebonyea kwa ndani badala ya kutokeza njeIla hawa wenzetu sijui uzuri wao huwa wanaangalia nini mimi hapo naona wa pili ndo mzuri zaidi na labda Deepika
Wapili kwenye list maybe. Naona baada ya namba moja imeruka hadi tatu. Namba mbili hamna.Ila hawa wenzetu sijui uzuri wao huwa wanaangalia nini mimi hapo naona wa pili ndo mzuri zaidi na labda Deepika
Nionyeshe picha yakeKwenye list kama hayupo Tems au Mke wa Ronaldo basi ifutwee tu.
Utajuaje😁 kanisifia chumbaniSijaona comment yake hapa😅
Namba 10 ni mzuri bana sema hiyo picha sijui ni aje..japo kweli hii list ni ubatili woiiHuyo namba 10 jamani
Kumbe kan look vizuri hivi?? Ila shikamoo mekapu..sema.hapo kwny list ametolewa kama alivyo akitoka kuogaNamba 10 ni mzuri bana sema hiyo picha sijui ni aje..japo kweli hii list ni ubatili woii
View attachment 2471621
HahahahaAkigeuka nyoote mwafa
View attachment 2471411