Hawa ndugu zetu wanaosema wanaotesha nywele kwenye vipara ni kweli wadau au wanatuibia

jaribu kunyoa kipala tena na kutumia garlic oil kqa muda wa siku 7 mfurulizo utaweza pata mafanikio kwa shida yako ya kushamuliwa na mba

Hii (garlic oil kqa) mbona siipati kila unapo uliza hata hawaijui, msaada tafadhali mkuu
 
kwa hapa bongo ni shida kuipata ila waweza tengeneza mwenyewe home kwa
  1. kutwanga/grate garlic na kupaka hio past kichwani
  2. kwa hutumia mafutaa mengine uyapendayo , kama vile mafuta ya nazi, kisha pata garlic(za kutosha i.e kiganja kimoja cha mkono) na zimenye vizuri, kisha pata chupa ndogo ya glass yenye mfuniko , kisha pasha moto mafuta yasichemke ila yapate joto tu kidogo, weka garlic kwenye chupa kisha mimina hayo mafuta hadi kupita ujazo wa garlic na funika, tikisa na weka kando kwa muda wa siku 4 yatakuwa tayali kwa kuyatumia
NB
kama unaona hio itakuchelesha waweza try option ya kwanza and ukiona kuna mafanikio au la naomba tu urudi na utoe ushuhuda wako hapa jf ili wengine nao wafaidike
 

Mkuu fafanua hiyo no. 1
 
Mkuu fafanua hiyo no. 1

Kutwanga / grate garlic na kupaka kichwani

hapa namaanisha kuwa tafuta garlic za kutosha kama kifuu kimoja na kitwange na baada ya hapo huo mtwango wa garlic kisha uupake kichwani lakini kabla kufanya hivyo ni bora kwanza kusafisha kichwa na kisha kutumia hio dawa

NB
kama nilivyosema yaweza kukusaidia na kukutibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…