Hawa ni Referees wa AFCON,waamuzi wa TFF wabaki ligi ya Karia

Hawa ni Referees wa AFCON,waamuzi wa TFF wabaki ligi ya Karia

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
267847140_664249214956412_7403884114269214578_n.jpg


Marefa wetu wa hovyo huwezi kuwakuta
 
Safi sana, majinga hayo yabaki kula posho za GieSM
 
Marefa wetu inabidi wafanye juhudi asee.Tunaposema tuna ligi bora Afrika Mashariki lakini bado hadi Burundi inaweza toa marefa wa kuaminiwa na CAF hii inaumiza kiasi chake.

Ndio ubora wa ligi katika nchi husika wanaweza kuwa wanatumia vigezo vingi lakini sisi si wakuzidiwa na Burundi katika ubora wa marefa.
 
Othman Kazi kama angekua kwenye ramani nahakika hapo asingekosekana.
 
Marefa wetu inabidi wafanye juhudi asee.Tunaposema tuna ligi bora Afrika Mashariki lakini bado hadi Burundi inaweza toa marefa wa kuaminiwa na CAF hii inaumiza kiasi chake.

Ndio ubora wa ligi katika nchi husika wanaweza kuwa wanatumia vigezo vingi lakini sisi si wakuzidiwa na Burundi katika ubora wa marefa.
Ikumbukwe kuna kipindi uingereza pamoja na ubora wao na ligi yao walishindwa kutoa refa hata mmoja kombe LA dunia lililopita. Hutokea tuu
 
Ikumbukwe kuna kipindi uingereza pamoja na ubora wao na ligi yao walishindwa kutoa refa hata mmoja kombe LA dunia lililopita. Hutokea tuu
Ni kweli lakini hii ya kwetu ni zaidi ya unachosema hapa.Kumbuka hapa unasema kombe la dunia.Vipi kuna siku Uingereza kakosa refa katika UEFA champions league?
 
Huyu alisimamishwa kuchezwsha wakati flan kwa ajili ya mlungula, ilibidi JK aingilie kati kuokoa jahazi.
Yap,jamaa alikua aachi mlungula,mpaka zile mechi za daraja la kwanza kipindi kile timu za Faru dume,Kagela ranger,bomu f.c alikua akichezesha anavuta mzigo na anauza mechi wazi kabisa.
 
Nadhani hapo tatizo kubwa kwa marefa wetu ni lugha. Hapo English, French lazima ipande, sasa marefa wetu wa GSM hali tete.
Lugha sina uhakika kama ni tatizo sana sema tu rekodi zao mbovu.Nachojua marefa wengi wenye mikoba ya FIFA hii english ya is and was kwao sio shida na ndiyo CAF wanataka.Sema tu wenge la marefa wa giesiemu ndio tatizo yani yanachezesha mechi za ligi hovyo yanasahau kwamba zinacount kwenye profile zao
 
Derby ya tano kwa ubora afrika inayofatiliwa na nchi kibao halafu unawekd marefa unaofikiri ni bora halafu wanafanya madudu ya wazi nani awachukue
Ila yule refa wa juzu, Daah, Mungu anamwona huko aliko!!

Game ile ilifuatiliwa na watu wengi Africa afu refa anaonesha mahaba yaliyopitiliza kwa upande mmoja badala ya free and fair game, ndo taabu yake hyo!!
 
Nadhani hapo tatizo kubwa kwa marefa wetu ni lugha. Hapo English, French lazima ipande, sasa marefa wetu wa GSM hali tete.
Lugha (French, English & Arabic) ni factor kubwa mno! Hapa tz sidhani Kuna refa yeyote anayejua lugha hizi ... nadhani wote French walau hata ya kuombea maji hawajui
 
Viwango vidogo wataitwaje.Sisi wacha tubanane hapahapa namaujinga yetu.
 
Safi sana, majinga hayo yabaki kula posho za GieSM
Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu, mwaka Jana tu dunia nzima ilijua marefa wa Tanzania wote wanalipwa na Mo, au wale wa mwaka Jana walifutwa wote?
 
Back
Top Bottom