Hawa ni Referees wa AFCON,waamuzi wa TFF wabaki ligi ya Karia

Hawa ni Referees wa AFCON,waamuzi wa TFF wabaki ligi ya Karia

Marefa wetu inabidi wafanye juhudi asee.Tunaposema tuna ligi bora Afrika Mashariki lakini bado hadi Burundi inaweza toa marefa wa kuaminiwa na CAF hii inaumiza kiasi chake.

Ndio ubora wa ligi katika nchi husika wanaweza kuwa wanatumia vigezo vingi lakini sisi si wakuzidiwa na Burundi katika ubora wa marefa.
Wee broo huyo wa burundi anaitwa pacifique ndie aliyechezesha fainali za champions alhaly vs kaizer chiefs ..usiwazarau waburundi wako vzr sna mbna katk ligi yetu wamejazana Sana hapa bongo kina Cedric, hatimana, ndaiyaragije wako vzr mno taifa ilo wanalibeza tu lkn wako trusted sana
 
Sikubaliani na makosa ya waamuz sana sana ya makusudi au ya kutokua na uwelewaa wa sheria au kanuni ,lkn pia si kwel kwamba tanzania tu ndio marefa wake wanakosea sana ,kama tff au nchi ni lazma ijitafakal kujua nn tatzo , matatzo aya aya tunayoyasema ndio chanzo cha waamuzi wetu kutoitwa kimataifa ndio ayo ayo tunayaona kila siku kupitia ligi mbali mbali, tena kuna nchi marefa wake wana matatzo zaid ya aya yetu lkn bado wanatoa waamuz , mfano yule mwamuz wa ghana na south africa je caf ilifanya nn au nchi yake ilifanya nn ,ndio waamuz wetu wana matatzo meng lkn je tujiulze hawa marefa wetu tu ndio wanakosea mara ngap tunaona apa apa africa mechi inavunjika au kuvurugika kisa maamuz ya hawa hawa marefa ambao kila siku tunaambiwa wetu wana wana makosa
 
Back
Top Bottom