muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
efm ndo kunawachambuzi wazuri wa soka,clouds kuna wasimuliaji wa historia ya mpira kitu ambacho hata wewe unaweza kukifanya kama umefuatilia mpira kwa mda mrefu
Ushawahi kusikiliza sports HQ ya efm halafu ulinganishe na sports extra?..Taja wachambuzi wako bora kwa sasaEfm na Clouds hawana tofauti.
Ushawahi kusikiliza sports HQ ya efm halafu ulinganishe na sports extra?..Taja wachambuzi wako bora kwa sasa
Magic fm hawan mpinzan baba george ni noma!
Ukisema wasimuliaju wa matukio basi wa redio wote ila naungana na wengine Mchambuzi bora kwa sasa ni MWL. KASHASHAKlauz kuna wachambuz au wasimuliaji wa matukio ya mpira yaliyotokea uwanjani? shaabaaashhhh!
Hilo Kalio Niwewe?Source?
Anapatikana media ganMzee wa ball control,acceleration,accuracy,body balance nk.....salute kwa mwalimu kashasha