Hawa ni warembo ama wachezaji wa twigastars jamani??uwiii

Yaani huyu wa kwanza kulia anfanana na yule lunyamila wa twiga kama pacha embu mwandiishi tuulzen yuko namba ngapi??
 
nimesoma miss utalii mwili umesisimka
 
ni warembo nani wachezaji ..
nani warembo kwa sababu wanafanya mazoezi ya kutosha dear..
 
Sio serengeti boys hawa, teh teh teh :sick:
 
warembo kwani lazima wawe vitovu nje ndio waitwe warembo?????
 
Kuna wachezaji wengine wa Twiga Stars wanavutia, kuna mmoja kapata timu nje ya nchi ni mrembo kinoma, nimeona kwenye gazeti la mwananchi juzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…