Hawa ni warembo ama wachezaji wa twigastars jamani??uwiii

Hawa ni warembo ama wachezaji wa twigastars jamani??uwiii

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Washiriki%2BMiss%2BTanapa%2B-Tourisim%2BTanzania%2B2010-11%2Bkatika%2Bpozi..jpg


MI SISEMI
 
Yaani huyu wa kwanza kulia anfanana na yule lunyamila wa twiga kama pacha embu mwandiishi tuulzen yuko namba ngapi??
 
nimesoma miss utalii mwili umesisimka
 
ni warembo nani wachezaji ..
nani warembo kwa sababu wanafanya mazoezi ya kutosha dear..
 
Sio serengeti boys hawa, teh teh teh :sick:
 
warembo kwani lazima wawe vitovu nje ndio waitwe warembo?????
 
Kuna wachezaji wengine wa Twiga Stars wanavutia, kuna mmoja kapata timu nje ya nchi ni mrembo kinoma, nimeona kwenye gazeti la mwananchi juzi
 
Back
Top Bottom