Hawa ni Watangazaji wa Zamani wa Radio Tanzania-RTD

RTD haikuwahi kuwa na mtangazaji anayeitwa Chris Katembo.

Ova
 
Hii ni taarifa ya habari Kutoka Radio Tanganyika Dar es salaam, mtangazaji wako ni Boniface Ntirugelegwa....... 🤓
 
Alikuwa na kamsemo "kazi ya jeshi ni kugangamara" hapo simba na yanga zinanyukana wachezaji hodari akiwepo na Edbin Jonas Lunyamila. Ya kale dhahabu😅
Jamaa alikua na mbwembwe sana. Kwasasa kwa mbaaali namuona Upete
 
Huyu simba nyanaume tunae humu
 
Mmemsahau mzee wangu hamza kasongo nguli

Ova
 
watangazaji wengi walikufa sana na ngoma, zile shift za usiku walikuwa wanaweka kanda ipige yenyewe na kusambaziana ukimwi wakaisha wengi kweli.
 
Mzee Rwegasira alifariki juzi tu hapa, hivi Abdallah Majura na Ahmed Kipozi bado wapo?
 
Nimefanikiwa kupata picha ya Wakongwe hawa...Magwiji kabisa

Kutoka kulia ni Abdallah Idrissa Majura, Tido Mhando, Ahmed Kipozi ma Charles Hillary
 

Attachments

  • images (93).jpeg
    49 KB · Views: 9
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…