Hawa nika bila la wapi??

Hawa nika bila la wapi??

Duh....ndugu yangu KK na mimi hawawezi aslan kutula....hiyo sura tu wataingia mitini wenyewe.....(lol)...lakini wakina PRETA buchani mojakwamoja

Sura ya mwanamume wanajua kuchagua siyo unakuwa club unatishiwa wanakuchukulia kademu kako lakini sura hii wenyewe wakiona hata kuomba kudansi shughuli!!
 
Hawa ni watu wa PAPUA NEW GUINEA.

Ni moja ya makabila yanayoogopwa kwa Ulaji wa watu (Akina Rama wala watu).

Msiwachekee hawa, ukifika kwao wewe ni Nyama ya Mshikaki au Kiti moto pori.

Wanavaa Original Vuvuzela......

Origin-of-the-vuvuzela.jpg


hayo maguti yalivyo.lol
 
Mkuu tuwekee na picha za wadada tuwaone...may be twaweza pata wachumba...
 
Halafu hizo sehemu za boxers zao zinazofunika shafts zinaonesha urefu wa shaft au umri wa mtu?
 
Naona wao manati na mishale havitangamani ni chanda na pete.
 
Dah! hawa watu kiboko. Hizo njemba "mashine " zinavundikwa humo kwenye hivyo vijaruba kutwa nzima nadhani ikifunguliwa akienda kule kwa akina thithi baba dhao wanaweza kuwekwa kwenye jumba la maonyesho eh! Na wanawake watu wazima wanakuwa naked wakati vibinti vinavaa nguo ni utamaduni wa ajabu kabisa..
 
Hiyo kitu si mchezo !!! Yaani wana ndude ndefu namna hiyo !!! Duuuuh
 
uwa nawapenda sana na life lao!!hawa hawajachakachuliwa na uzungu
wagumu kwelikweli
 
Back
Top Bottom