Duh....ndugu yangu KK na mimi hawawezi aslan kutula....hiyo sura tu wataingia mitini wenyewe.....(lol)...lakini wakina PRETA buchani mojakwamoja
Hawa ni watu wa PAPUA NEW GUINEA.
Ni moja ya makabila yanayoogopwa kwa Ulaji wa watu (Akina Rama wala watu).
Msiwachekee hawa, ukifika kwao wewe ni Nyama ya Mshikaki au Kiti moto pori.
Wanavaa Original Vuvuzela......
Eti uwaibie KURA hawa walahi watakutafuna
Eti uwaibie KURA hawa walahi watakutafuna
Wake zao sasa.......balaa
Halafu hizo sehemu za boxers zao zinazofunika shafts zinaonesha urefu wa shaft au umri wa mtu?
Nimeipenda hiyo hifadhi yao maana muda wote inabidi kitu iwe attention la sivyo inachomoka.