CaptainDunga
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 1,572
- 1,379
Kama una uwezo wa kumsaidia…..Msaidie akipona ndo uje kumsimanga.wasanii wengi wapumbavu sana akiwepo na huyo Hawa, pombr kali tena mwanamke na ana mtoto anategemea nini, hajali malezi na carrier yake, hakujali kujitunzia heshima, leo hii analia lia, sijui kwa nini huwa hawajifunzi. Mwanamke gani anakesha bar analewa pombe kali, anavuta bangi/madawa ya kulevya leo hii anakaa anaomba kuhurumiwa, kwa wenye roho ngumu kama mimi huwa tunaishia kusema Mungu amrehemu na amsaidie kadri apendavyo Yeye
sio hamorapa huyu !!!,Ungejitambulisha ww ni msanii gn ili followers wako wakuunge mkono
Kama una uwezo wa kumsaidia…..Msaidie akipona ndo uje kumsimanga.
Kama Mungu ndo hakimu…….mbona una onekana kumuhukumu kwa matendo yake ya nyuma….. Ww kumjua zaidi hakumsaidii kutoka kwenye matatizo yake.Kumuombea kwa Mungu ni msaada tosha, maana yeye ndiye hakimu.
nadhani haukumfahamu vizuri huyu dogo kabla hajaanza kuumwa ndio maana unasema hivyo.
Ningekuwa nimemhukumu, nisingemuombea hata hiyo huruma ya Mungu. Ninge'conclude kwa kusema hafai kusaidiwa ova.Kama Mungu ndo hakimu…….mbona una onekana kumuhukumu kwa matendo yake ya nyuma….. Ww kumjua zaidi hakumsaidii kutoka kwenye matatizo yake.
Kama binadamu wengine wakiwa kwenye shida tunaweza kumchangia/kuchangiwa....ila tujiulize Kuna watu wangapi wenye shida Kama yake wapo hospitali na hakuna mtu wa kuwasemea. Besides Hawa wasanii na watu mashuhuri wanapopata shida wanakuwa wa kwanza kuja mitandaoni kuomba msaada wa matibabu lakini wanapokuwa wazima huwa hawarudishi fadhila kwa kusaidia wenye shida na wamekuwa wakiishi maisha ya anasa Sana na kujionyesha kuwa Wana hela...tujifunze juu ya haya japo hayo niliyoyaeleza hayaondoi sababu ya kumsaidiaNawaomba wasanii kwa umoja wetu tumchangie msanii mwenzetu bi hawa anaumwa Ini limevimba.Msanii huyu ndie yule aliyeimba na Msanii Diamond wimbo uitwao Nitarejea .Msanii Hawa amelazwa Hospital ya Muhimbili
...na bendera za ccm kama kawaidasiwezi kumchangia msanii hata siku moja ndo hao hao wakipona wanaanza kujiita the boss lady
si ndo hapo...na bendera za ccm kama kawaida
Unamaanisha WBC walimshawishi atumie haya matakataka ?Nnavyojua huyu alikua ni demu wa mond kipindi kile akaja kuwa mlevi na mtumiaji wa drugs! WCB wasijiweke pembeni ktk hili
Na kutuita wengine Low life! Wengine wako segerea kwa kuzidhalilisha fedha na wengine wapo hospital wanasubiria huruma za Mungu kwa kuwa hawana fedha hata za matibabu,na wote eti ni ma celebrity!siwezi kumchangia msanii hata siku moja ndo hao hao wakipona wanaanza kujiita the boss lady
GONGO???unapojikuta katika kipindi kigumu..mfano depression,ugumu wa maisha.tulia.tumia busara kufikiri ni vipi utatoka au kucope hiyo hali..na kabla hujaamua kujiingiza katika maamuzi jiulize yatakupa matokeo gani? mazuri na mabaya yake,yapime uzito kisha jishauri niingie au la
hawa alipata anguko kama msanii.diamond akamuacha,akaamua kudate na mwanaume mwingine nae akampachika mimba akaikataa.maamuzi yake ya kujiingiza kwenye madawa ya kulevya na kunywa gongo tena akiwa na mimba faida yake ni ndogo kuliko madhara.
Mungu atampigania
shenzi sana hawa wasanii uchwaraNa kutuita wengine Low life! Wengine wako segerea kwa kuzidhalilisha fedha na wengine wapo hospital wanasubiria huruma za Mungu kwa kuwa hawana fedha hata za matibabu,na wote eti ni ma celebrity!
ndiyo alikua anakunywa gongo mpaka akashindwa kuacha..na ndo imemuharibu iniGONGO???
Unaweza kukuta hiyo ndio sababu kuu inayo mfanya kunywa pombe kupita kiasiKwa mujibu wa huyo binti, alisema waliishi na anayejiita Diamond kama MKE na MUME mpaka hapo jamaa alipojikusanyia umaarufu usio na manufaa. Mama wa jamaa anadaiwa aliutambua na kuunga mkono uhusiano ule
AiseeeeHawa wapuuzi hawastahilo huruma, huu ni wakati wa kila mtu kupambana na hali yake, pesa za kubwia unga kama nyoka angelipia bima ya NHIF saa hizi asingetuletea huu upuuzi wake.
Tena hii tabia ikome.