Hawa Nitarejea wa Diamond yupo hoi kitandani, anaomba msaada wa kusaidiwa

Hadi huruma
 
ETI
"Hali yake imezidi kuwa mbaya baada ya kulazwa...."
cha ajabu ni kuwa wachangiaji woote wamepigwa na upofu!!!
 
Kwa mujibu wa huyo binti, alisema waliishi na anayejiita Diamond kama MKE na MUME mpaka hapo jamaa alipojikusanyia umaarufu usio na manufaa. Mama wa jamaa anadaiwa aliutambua na kuunga mkono uhusiano ule
Inasemekana chanzo cha wao kuachana ni baada ya Dai kugundua mwenza wake ni mlevi pia alikua akivuta poda
 
Haya maisha ya dunia hii ni mtihani mkubwa sana ,Nyimbo pekee ya Diamond ninayoipenda ni hii Nitarejea ,Pole Hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…