Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Watakimbilia serengeti au tarangire?Kiboko ya Simba koko ni Yanga... Simba watapiga piga kelele...waambie Yanga huyoooo.... Wanaweka mkia makalioni wanalala mbele. Wepesi kama kamasi za kichanga.
Wacha washinde match zoooote. Watakuja tema points 3 kwa sisi wakali wao. Wakali wa hizi kazi. Mi nawacheck....nasikitika tu maana hawana kitu. Hawana team basi tu wanakutana na vibonde. Wamekalia points zetu. Wametangulia na baiskel ya miti.
Kiboko ya Simba koko ni Yanga... Simba watapiga piga kelele...waambie Yanga huyoooo.... Wanaweka mkia makalioni wanalala mbele. Wepesi kama kamasi za kichanga.
Wacha washinde match zoooote. Watakuja tema points 3 kwa sisi wakali wao. Wakali wa hizi kazi. Mi nawacheck....nasikitika tu maana hawana kitu. Hawana team basi tu wanakutana na vibonde. Wamekalia points zetu. Wametangulia na baiskel ya miti.
Kiboko ya Simba koko ni Yanga... Simba watapiga piga kelele...waambie Yanga huyoooo.... Wanaweka mkia makalioni wanalala mbele. Wepesi kama kamasi za kichanga.
Wacha washinde match zoooote. Watakuja tema points 3 kwa sisi wakali wao. Wakali wa hizi kazi. Mi nawacheck....nasikitika tu maana hawana kitu. Hawana team basi tu wanakutana na vibonde. Wamekalia points zetu. Wametangulia na baiskel ya miti.
Nabi mwenyewe alishinda game mbili tuYanga tusijipe matumaini makubwa huku tukitambua fika kwa sasa hatuna kocha mwenye mbinu ya kumfunga kirahisi Simba kama alizokuwa nazo Nabi na Gamondi.
mimi ni Yanga damu lakini huyu kocha tulienaye sioni chochote.Kiboko ya Simba koko ni Yanga... Simba watapiga piga kelele...waambie Yanga huyoooo.... Wanaweka mkia makalioni wanalala mbele. Wepesi kama kamasi za kichanga.
Wacha washinde match zoooote. Watakuja tema points 3 kwa sisi wakali wao. Wakali wa hizi kazi. Mi nawacheck....nasikitika tu maana hawana kitu. Hawana team basi tu wanakutana na vibonde. Wamekalia points zetu. Wametangulia na baiskel ya miti.
Mi nipo ndugu yangu. Fitna za watu lakini nadunda tu....π Simba wananifanyia sana fitna....Minjingu Jingu. Washakutoa gitmo?π€£π€£π€£π€£
π π π
Sipewi sasa,...Jamani mods mbona huyu bado yupo hewani??
Watu wa hivi hawanaga kazi za kufanya hawana hoja zaidi ya kutabiri upumbavu...
Aliomba ban apewe....
Apeweee ban
Apeeeee ban
Apweee ban