Wakuu, kiwavi hiki cha utawala mbaya na rushwa katika Jeshi hili kitaisha lini?
Mfano, hawa traffic wa barabara ya kwenda Njiro, Arusha, wanasimama katikati kabisa ya bara bara, kila gari lazima wasimamishe na kuomba rushwa bila aibu! Why?
Hawana kazi nyingine za kufanya au njia ya kiakili zaidi ya kutekeleza majukumu yao? Mfano, kutoa elimu ya usalama barabarani mashuleni na vyuoni?
Mfano, hawa traffic wa barabara ya kwenda Njiro, Arusha, wanasimama katikati kabisa ya bara bara, kila gari lazima wasimamishe na kuomba rushwa bila aibu! Why?
Hawana kazi nyingine za kufanya au njia ya kiakili zaidi ya kutekeleza majukumu yao? Mfano, kutoa elimu ya usalama barabarani mashuleni na vyuoni?