kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Hakuna kitu kinakera kama kila saa na kila siku unakamatwa na traffic hata kama huna kosa watakutafutia visababu.
Hawa jamaa ni watu wa hovyo sana, ndo maana huishia kufa masikini, kinachowatesa ni njaa zao, wivu na roho mbaya dhidi ya wenye magari, kwani kuna mtu aliwatuma wafanye kazi za kuchomwa na jua, ingekua hata wanamiliki magari walau basi.
Kila siku mnasababisha foleni, hawa ndo wanahusika na kusababisha foleni maeneo mengi hapa Dsm mfano nzuri ni pale Buguruni na Mwenge.
Hivi hawa jamaa wanadhani wenye magari ni matajiri sana wa kuwakamua? Karibia kila wiki hela inanitoka mara tatu mara nne.
Tuna taifa la hovyo sana lenye askari wa hovyo wa usalama barabarani.
Hovyo kabisa!
Hawa jamaa ni watu wa hovyo sana, ndo maana huishia kufa masikini, kinachowatesa ni njaa zao, wivu na roho mbaya dhidi ya wenye magari, kwani kuna mtu aliwatuma wafanye kazi za kuchomwa na jua, ingekua hata wanamiliki magari walau basi.
Kila siku mnasababisha foleni, hawa ndo wanahusika na kusababisha foleni maeneo mengi hapa Dsm mfano nzuri ni pale Buguruni na Mwenge.
Hivi hawa jamaa wanadhani wenye magari ni matajiri sana wa kuwakamua? Karibia kila wiki hela inanitoka mara tatu mara nne.
Tuna taifa la hovyo sana lenye askari wa hovyo wa usalama barabarani.
Hovyo kabisa!