DOKEZO Hawa Trafiki wanakera sana, njaa zitawaua

DOKEZO Hawa Trafiki wanakera sana, njaa zitawaua

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hakuna kitu kinakera kama kila saa na kila siku unakamatwa na traffic hata kama huna kosa watakutafutia visababu.

Hawa jamaa ni watu wa hovyo sana, ndo maana huishia kufa masikini, kinachowatesa ni njaa zao, wivu na roho mbaya dhidi ya wenye magari, kwani kuna mtu aliwatuma wafanye kazi za kuchomwa na jua, ingekua hata wanamiliki magari walau basi.

Kila siku mnasababisha foleni, hawa ndo wanahusika na kusababisha foleni maeneo mengi hapa Dsm mfano nzuri ni pale Buguruni na Mwenge.

Hivi hawa jamaa wanadhani wenye magari ni matajiri sana wa kuwakamua? Karibia kila wiki hela inanitoka mara tatu mara nne.

Tuna taifa la hovyo sana lenye askari wa hovyo wa usalama barabarani.

Hovyo kabisa!
Unatupigia kelele, kwani huwezi kuongea kwa sauti ya chini ukaeleweka!?
 
Tusiwahukumu na wenyewe watafutaji pengi mishara yao haikizi mahitaji yao ya kuendesha familia njia pekee ya kuondoa tatzo hili ni kuwapa mishahara mizuri
 
Hakuna kitu kinakera kama kila saa na kila siku unakamatwa na traffic hata kama huna kosa watakutafutia visababu.

Hawa jamaa ni watu wa hovyo sana, ndo maana huishia kufa masikini, kinachowatesa ni njaa zao, wivu na roho mbaya dhidi ya wenye magari, kwani kuna mtu aliwatuma wafanye kazi za kuchomwa na jua, ingekua hata wanamiliki magari walau basi.

Kila siku mnasababisha foleni, hawa ndo wanahusika na kusababisha foleni maeneo mengi hapa Dsm mfano nzuri ni pale Buguruni na Mwenge.

Hivi hawa jamaa wanadhani wenye magari ni matajiri sana wa kuwakamua? Karibia kila wiki hela inanitoka mara tatu mara nne.

Tuna taifa la hovyo sana lenye askari wa hovyo wa usalama barabarani.

Hovyo kabisa!
IGP kaziba masikio
 
Last week nilikuwa napita Bypass East Africa wakanipiga mkono speed 60 km per hour.

Traffic walikuwa 4 na Officer mmoja mwenye nyota moja.Wote wanadai rushwaa eti bypass siku hizi makazi ya watu yapo so sahau habari ya bypass.

Nikawaambia msinipotezee muda nipatie hicho kikatatasi cha penalty nitalipa kuliko kuwapatia 10,000.

Matatizo ya barabara za Tanzania ni kero zaidi ya TOZO.

Trafic wana vikoba vyao souce ya income ni madereva.
 
Lakini shujaa wa Afrika na Dunia alisema hiyo ni yakubrashia viatu [emoji849][emoji849]
 
Back
Top Bottom