Hawa 'under 18' tuwafanyeje?

Hawa 'under 18' tuwafanyeje?

Aaah sana... Yuko safi sana. Nategemea kumtumia kumlinda mheshimiwa rais nanii 2015

duuuhhh
siumwachie tu amlinde huyu wa sasa
kama huyu paka wetu nimpenda haki na maendeleo
ataitumia hiyo AK 47 inapotakiwa..:lying:
 
kweli kabisa,au waandaliwe darasa la kuwafanyia counselling kwa njia moja au nyingine
 
Nampenda thaaaana.
Natoka kidogo eeh....

haya
i hope ur house is bullet proof..
maana hiyo kitu aliyeshika paka achananayo..
hahahhaha lol
wa weza rudi home ukute majivu kila kitu lol

c u l8er..
 
Tuwakaribishe hawa watoto mnaosema ni chini ya miaka 18, halafu tuwafundishe jinsi ya kubehave ndani ya jf.

Tuwape nafasi nao ya kutoa mawazo yao.. Ila wakiwa nawaongea pumba nadhani boss atawafuta kabisa..
 
haya
i hope ur house is bullet proof..
maana hiyo kitu aliyeshika paka achananayo..
hahahhaha lol
wa weza rudi home ukute majivu kila kitu lol
c u l8er..

Ha ha ha... My paka knows how to behave ...lol
Pouwa, later then
 
Wewe unaweza kuongea na mtoto wako eti demu kanifanya hivi na vile??
Kuna mambo ya kuongea si kama hayo

Inaonekana huyo ni baba asie na maadili mema kwa watoto ndo maana anaona sawa tu. Atakua fataki huyo.
 
Mkuu hawa madogo wanahitaji, hebu soma signecha yangu.......!

Siyo siri hawa madogo na mathread yao sijui mama mkwe ananitaka, sijui wanawake wote wa mjini wametoa mimba, sijui jinsi ya kumpata demu wa kichaga et el wanaboa sana.

Jukwaa la watoto ni wazo jema Naunga mkono hoja.

Kuna post zingine ukishaona heading yake unaboreka hapo hapo. Nikweli wanaudhu na vitu vyao vya kitoto toto.
 
Kweli uporoto. Halafu humu kuna vibabu na vibibi akili zao kama hao hao < 18.
 
Wakuu wa jukwaa hili kuna hawa vijana wadogo anda 18 ambao wamevamia jukwaa hili miezi ya karibuni naona tuwaombe Mods wawafungulie jukwaa la watoto la sivyo hatutaelewana hapa,wenyewe kila kukicha demu wangu kafanya hivi,sijui shori kafanyaje mpaka kina dada wanakosa amani hapa.Mapendekezo mengine yanakaribishwa.

Nakubaliana na wewe kabisa. Kuna watoto wamevamia jukwaa na kwa sasa jukwaa linazidi kupoteza utamu kila kukicha.

Siku hizi tumegeuka kuwa watu wa kuzungumzia ngono tu ngono tu kila kukicha, tumesahau mambo muhimu ya urafiki, mahusiano na mapenzi. Nashindwa kutofautisha jukwaa hili na lile la mambo ya Kikubwa. Tofauti labda ni kwamba huku hamna picha.
 
Nakubaliana na wewe kabisa. Kuna watoto wamevamia jukwaa na kwa sasa jukwaa linazidi kupoteza utamu kila kukicha.

Siku hizi tumegeuka kuwa watu wa kuzungumzia ngono tu ngono tu kila kukicha, tumesahau mambo muhimu ya urafiki, mahusiano na mapenzi. Nashindwa kutofautisha jukwaa hili na lile la mambo ya Kikubwa. Tofauti labda ni kwamba huku hamna picha.

Kabisa maana mpaka thread nyingine ni aibu hata kusoma
 
Wasiwasi wangu ni kwamba yawezekana sasa watu wakashindwa/ogopa kuwasilisha matatizo yao hapa MMU ili wapate ushauri/elimu ya mahusiano kwa kuhofia kuwa itafutwa au itaitwa ya kitoto. Ni vigezo gani vinatumika kupima kuwa hii ya kitoto au la!

Tuwe wakweli jamii ya sasa under 18 wengi wanakuwa tayari na mahusiano ya mapenzi(sishabikii ila hali ndo ipo hivyo) hivyo ni vema wakaja hapo MMU kupata ushauri wa yanayowasibu kuliko kuwaacha waangamie. Kumbukeni hata elimu ya ukimwi mwanzoni under 18 walitengwa lakini baadaye ikagundulika kuwa nao ni waadhirika wa hilo janga na nadhani sasa hata shule za msingi elimu ya ukimwi ipo.

Mimi nadhani hizi mada zinazikwenda kinyume sana na asili/nature ndio zifutwe au zipelekwe kule kwa wakubwa.
 
Kwa mtazamo wangu mwingine ni kwamba; TATIZO SI UTOTO WA THREADS BALI INAONEKANA WAKONGWE WA JF HAWAJAFURAHISHWA NA ONGEZEKO KUBWA LA MEMBERS LA SIKU ZA HIVI KARIBUNI,WALIZOEA KUCHATI WAKIWA WACHACHE NA PENGINE KULIKUWA HUKUNA MADA ZA KUMWAGA ZA KILA SIKU KAMA SASA KIASI AMBACHO MADA ILLIKUWA INAJADILIWA KWA MUDA MREFU TOFAUTI NA SASA.

KUNA WAKONGWE HAPA JF WANA MADA ZA KITOTO SANA LAKINI KWA VILE NI WAKONGWE HILO HUWA HALIONWI LA KITOTO BALI HUCHANGIWA HASA NA WAKONGWE WANZAO + WAGENI KWA MBWEMBWE NA MADOIDO YOTE; KUNA MKONGWE ALIWAHI TOA MADA YA KITOTO/WIMBO WA ENZI ZA UTOTO, "ANA ANA ANA DO", BASI HIYO MADA ILICHANGIWA KWA NGUVU NA MBWEMBWE ZOTE KARIBU KURASA TANO(SIC), LAKINI KWA HIKIKA HIYO MADA INGELETWA NA MGENI INGEZIMWA NA KUITWA MAJINA MAJINA MABAYA KAMA "CRAP"

JAMANI ACHENI JF IPATE MEMBERS WENGI KWA KADRI ITAVYOWEZEKANA MAANA HAPA NI KAMA CHUO KIKUU, KUNA MTU KWENYE THREAD FULANI KASEMA ELIMU ALIYOPATA HAPA NI DEGREE TOSHA.

NIMEKUWA MSOMAJI WA JF KWA KARIBU MWAKA KABLA YA KUAMUA KUJIUNGA, NAIHESHIMU SANA.
 
Back
Top Bottom