Hawa vijana wa skauti wanaruhusiwa kusimamisha magari na piki piki?

Hawa vijana wa skauti wanaruhusiwa kusimamisha magari na piki piki?

GUSA ACHIA BAHASHA GOLI

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2023
Posts
5,110
Reaction score
7,349
Tukio limenikuta muda huu baada ya kusimamishwa na vijana wadogo skauti kwenye chombo changu cha usafiri
Tena huyu skauti alienisimamisha umri wake ni miaka 19/20 halafu ananimbia paki piki piki yako pale
Ilibidi nishuke nimfuate nimchape kibao kwanza na nikamuuliza wewe huna sare yoyte unanisimamishe mimi nionyeshe kitambulisho chako alichonijibu sisi tuna msafara wetu halafu walikuwa 8 wengine wote wamevaa sare kasoro huyu alienisimamisha
Nikawasha batavuzi langu likaondoka maana nzi walianza kuwa wengi
Wanasheria na watu wa usalama barabarani je
Hawa vijana wa skauti wanaruhusiwa kusimamisha vyombo vya moto?
 
Tukio limenikuta muda huu baada ya kusimamishwa na vijana wadogo skauti kwenye chombo changu cha usafiri
Tena huyu skauti alienisimamisha umri wake ni miaka 19/20 halafu ananimbia paki piki piki yako pale
Ilibidi nishuke nimfuate nimchape kibao kwanza na nikamuuliza wewe huna sare yoyte unanisimamishe mimi nionyeshe kitambulisho chako alichonijibu sisi tuna msafara wetu halafu walikuwa 8 wengine wote wamevaa sare kasoro huyu alienisimamisha
Nikawasha batavuzi langu likaondoka maana nzi walianza kuwa wengi
Wanasheria na watu wa usalama barabarani je
Hawa vijana wa skauti wanaruhusiwa kusimamisha vyombo vya moto?
Nadhani ni suala la uelewa tu, katika mazingira ya dharura na kukiwa na sababu za msingi za kufanya hivyo hata raia yoyote anaweza kukusimamisha.
Busara ni kumsikiliza kwa hekima aliyekusimamisha na kujua sababu ya kufanya hivyo kabla ya kuanza kumuhukumu mtu aliyekusimamisha kwa kukariri kwamba anayekusimamisha lazima awe mtu wa sare fulani au awe na kitambulisho fulani.
 
Ina
Tukio limenikuta muda huu baada ya kusimamishwa na vijana wadogo skauti kwenye chombo changu cha usafiri
Tena huyu skauti alienisimamisha umri wake ni miaka 19/20 halafu ananimbia paki piki piki yako pale
Ilibidi nishuke nimfuate nimchape kibao kwanza na nikamuuliza wewe huna sare yoyte unanisimamishe mimi nionyeshe kitambulisho chako alichonijibu sisi tuna msafara wetu halafu walikuwa 8 wengine wote wamevaa sare kasoro huyu alienisimamisha
Nikawasha batavuzi langu likaondoka maana nzi walianza kuwa wengi
Wanasheria na watu wa usalama barabarani je
Hawa vijana wa skauti wanaruhusiwa kusimamisha vyombo vya moto?
Inategemeana ndy wanawez kukusimamisha kwa sabb maalumu hata mtu tu wa kawaida pia anawez pale inapohitajika yaan emergenc vinginevyo hapan ndy maana wakawekwa watu maalumu kufany hyo kaz kwa mujibu wa sheria la sivyo kila mtu angekuw ana mandatory ya kusimamish watu barabaran
 
Ina

Inategemeana ndy wanawez kukusimamisha kwa sabb maalumu hata mtu tu wa kawaida pia anawez pale inapohitajika yaan emergenc vinginevyo hapan ndy maana wakawekwa watu maalumu kufany hyo kaz kwa mujibu wa sheria la sivyo kila mtu angekuw ana mandatory ya kusimamish watu barabaran
Mimi nilisimamishwa ghafla tu alivuka mmoja kutoka upande wa pili wa barabara kuja kwangu tena anafoka
 
Nadhani ni suala la uelewa tu, katika mazingira ya dharura na kukiwa na sababu za msingi za kufanya hivyo hata raia yoyote anaweza kukusimamisha.
Busara ni kumsikiliza kwa hekima aliyekusimamisha na kujua sababu ya kufanya hivyo kabla ya kuanza kumuhukumu mtu aliyekusimamisha kwa kukariri kwamba anayekusimamisha lazima awe mtu wa sare fulani au awe na kitambulisho fulani.
Alivuka upande walipo wao akanifuata mimi huku anafoka na kwa umri wake niliona dharau kubwa
 
Back
Top Bottom