Hawa vijana wanaovimba mtandaoni kwa maburungutu ya milioni 40 ni washamba wa pesa, Ili uvimbe kama don walau uringishie milioni 200

Wewe unavimba na tumilioni mia ngapi mwana?
 
Kuna kaharufu ka wivu huyo anaesema kuvimba ni mpaka uwe na 200m ukichunguza sana hana hata laki ila anafunsisha watu kuvimba😂😂😂 miache mtu na mali yake pesa zake apate kwa njia yoyote akiamua kuvimba muache ajipost mtandaoni watu wamuone kwan shida iko wapi
 
Kuna sisi ambao hatuna hata million 1 sio cash, bank au assets. Ni haki watuvimbie.
Huna hata ka milioni kamoja benki kweli na upo Jf??..

You must leave this platform ASAP.

Kidding.
 
Hamna coster ya 80 million
 
Hata vyanzo vya pesa zao havieleweki vimejaa ukakasi, usiumie wala kujilinganisha nao kwa pesa wanazorekodi !!
Hata kama chanzo cha pesa ni halamu as long as anacheza dili zake smart bila kugundulika mbona poa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…