wamkodowenye
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 261
- 291
Kumeibuka wimbi na vijana masharobaro kupaka rangi kucha na kuwaosha miguu wanawake zetu hii inapelekea kuchochea kuwatega wanawake maana wanalegea sana nakusisimka wanaposuguliwa miguu.
Mimi siku nikimkuta muosha miguu au mpaka rangi kucha kwangu namtoa na mbata ya kufa mtu ukipita mitaa ya Mwenge pale utakuta wanawake wamepanga foleni wanaoshwa miguu tena wanalegea balaa.
Mimi siku nikimkuta muosha miguu au mpaka rangi kucha kwangu namtoa na mbata ya kufa mtu ukipita mitaa ya Mwenge pale utakuta wanawake wamepanga foleni wanaoshwa miguu tena wanalegea balaa.