Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubaguzi. Bora wasingize habari ya katiba mpya kwenye soka wakati ni wanaSimba.Mwenye akili timamu atagundua kuwa licha ya wao kugombania katiba mpaya pia ni washabiki wa Simba.
Hakuna uhusiano kati ya kudai katiba mpya na ushabiki wa mpira.
Au kwa kuwa wewe ni Yanga kwa hiyo ulitaka wakae upande wenu ili kukufurahisha nafsi?
Hao wala hela ya chademaHawa vijana wanachafua mapambano ya katiba mpya kuyahusisha na Simba Fc. Huu ni ubaguzi wa kishamba na usiofaa kabisa. Hawafai hawa vijana ni washamba sana.View attachment 2242392
Ukiona mtu ni mshabiki wa Simba halafu ni Chadema, jua ni mpuuzi kama Tundu LissuHawa vijana wanachafua mapambano ya katiba mpya kuyahusisha na Simba Fc. Huu ni ubaguzi wa kishamba na usiofaa kabisa. Hawafai hawa vijana ni washamba sana.View attachment 2242392
Naomba ujiheshimu.sawa?Unakuta jitu lilikua shabiki la yanga ila baada ya kua mwanachama wa chadema anahamia simba sababu kuu sio soka ila eti rangi ya jezi 😂😂.
Huwa nawashangaa sana hawa watu.
Hata wewe mleta uzi nadhani ni mmoja wa hao watu.
MpumbavuWanavyoidai hiyo katiba mpya utadhani ikipatikana basi utatokea muujiza wa kubadili maisha yao bila kufanya kazi.
Msoto uko pale pale, hiyo katiba mpya ni kwa manufaa ya wanasiasa tu.
Sisi wananchi tupambane tuwe na hali nzuri ya kufanya shughuli zetu za maendeleo.
Otherwise ni upotevu wa muda kujihusisha na mambo kama hayo.
Acha kutukana watu wasiofahamu hata uwepo wako.Ukiona mtu ni mshabiki wa Simba halafu ni Chadema, jua ni mpuuzi kama Tundu Lissu
Wewe ni Square.Mpumbavu
Ngoja umuache nn? Nakazia kwel weee ni mpumbavu tuAhaaa. Ngoja nikuache.