Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,898
- 14,413
Kacheza nusu msimu kasajiliwa dirisha dogoKotei anasahaulikaje kwa mfano?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kacheza nusu msimu kasajiliwa dirisha dogoKotei anasahaulikaje kwa mfano?
huyu Dogo angalau sio kichuya hovyo kabisaZimbe Jr,mchezaji pekee aliyecheza mechi zote za Simba ligi hii dk 90, ndiye mchezaji anayeongoza kwa kucheza dakika nyingi ligi hii kwa kiwango cha juu
Hakuna hapo hata mmoja anaemshinda NiyonzimaKwa upande wangu kichuya .. Tshbalala na Aishi manulala wanastahili kuwania hiyo tuzo
Hakuna hapo hata mmoja anaemshinda Niyonzima
sikubaliani na hiyo hoja, timu inaweza kuwa mbovu ila akawemo mchezaji mmoja mzuri ,mfano Abdulrahman Musa wa ruvu shooting, halafu unataka kuniambia kichuya ni bora kuliko AjibuTFF wana vigezo vyao, ukizungumzia wachezaji wa timu zingine nje na Azam, Yanga na Simba
Hao wachezaji ni bora ndio lakini wamefikisha wapi timu zao??
Unataka kumpa uchezaji bora timu yake inashuka daraja
Wache wakapige kura tuone nani atakua bora
Lakini kwa upande wangu hawa watatu wamesaidia sana timu zao "Aishi Manula", " Niyonzima" na "Kichuya"
talent and brain, Niyo kawapita woteunatumia vigezo gani mkuu?
Mtazamo wako unataka usamehewe ila tusiwasamehe tff na mitazamo yao eeh? acha double standard mkuuSalute!
Pamoja na Mimi kuwa mshabiki wa yanga sioni huo uchezaji bora wa msuva ,labda ufungaji. Pia hata huyo kichuya ni hovyo kabisa. Nakwambia hawa wachezaji wawili ni wabahatishaji tu, kubwa ni mbio. Mimi nilitarajia nimuone ndani:
Ibrahim Ajibu(Simba sc)
Haruna Niyonzima(Young Africans)
Yakub Mohammed(azam fc)
Jafari Mohammed(Toto Africans)
Abdulrahman Musa (Ruvu Shooting)
Mbaraka Yusuph(kagera sugar)
Aishi Manula(Azam fc)
Salum Abubakari( Azam fc)
Ikumbukwe huo ni mtazamo wangu ,mnisamehe kwa kweli, ila kwa kuwa majina yameshatoka ni ukweli usiopingika kuwa Haruna Niyonzima ndo bora.
Samahani naomba msnitukane maana kuna watu humu ni waja wa laana.
Wakati mwingine ww hamnazoMFUNGAJI BORA NI YULE ALIYEFUNGA MAGOLI YA SIMBA DHIDI YA KAGERA SUGAR
MAGOLI YA MAAMDAMANO HADI FIFA
Simba bwana mna vimbweka sana utanishika Ubaya mwaka huuWakati mwingine ww hamnazo