stella1975
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 870
- 1,249
Mamaye zao nimeliwa hela ndefu kwenye betting sababu yao.Hawa wachezaji wa arsenal hivi kweli wafamilia inayowategemea? Wanashindwa nini kujituma uwanjani badala yake wanakuwa goigio kiasi hiki? Ningekuwa Mimi ni kocha wao Leo wangekula vimbo za Uhakika
Sent using Jamii Forums mobile app
Arsenal kama Liverpool usiwawekee mkeka utachanikaMamaye zao nimeliwa hela ndefu kwenye betting sababu yao.