chongoe
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 1,183
- 2,871
Fanya kazi ,unategemea upate pesa kwa nguvu za watu ndio matokeo yake hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga imekujaje kwenye uzi wa Arsenal?
Na nyie mashabiki wa Yanga mmekujaje kwenye uzi wa mashabiki wa AsernalYanga imekujaje kwenye uzi wa Arsenal?
Anatafuta matusi kwa nguvuYanga imekujaje kwenye uzi wa Arsenal?
Nina ķitambisho cha yanga hapa?Na nyie mashabiki wa Yanga mmekujaje kwenye uzi wa mashabiki wa Asernal
Sent using Jamii Forums mobile app
Umepanic!relaxNina ķitambisho cha yanga hapa?
Mbona unateseka we jamaa
Mashoga.Hawa wachezaji wa arsenal hivi kweli wafamilia inayowategemea? Wanashindwa nini kujituma uwanjani badala yake wanakuwa goigio kiasi hiki? Ningekuwa Mimi ni kocha wao Leo wangekula vimbo za Uhakika
Sent using Jamii Forums mobile app
Usifananishe taka na vitu vya hovyo hovyo! Taka ni mbolea!
[emoji23][emoji23]bora taka kuliko...nanilii wanapata tabu sana,wanachakaaUsifananishe taka na vitu vya hovyo hovyo! Taka ni mbolea!