GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wengi wao.....
1. Wana Hasira (Usununu)
2. Wakali
3. Wajeuri (Ngumi Mkononi)
4. Wana PhD"s za Matusi
5. Hawajui Kutabasamu
6. Wana Stress na Frustrations
7. Mabingwa wa Kugongea Misosi ya Watu na Kulazimisha kupewa Lifti nyakati za Jioni / Usiku
Kuna Mmoja nimekutana nae mahala nimemchanganyia Mihasira yangu ya Kimusoma (Mara Region), Gongo niliyokunywa na harufu ya Bange niliyopishana nayo katika Dirisha la Mtu na kwa majibu yangu niliyompa atakuja Kuwasimulieni Ofisini Kwenu na sina uhakika kama Kesho atakuja tena hapa tulipokutana leo kwa Majibu niliyompa.
1. Wana Hasira (Usununu)
2. Wakali
3. Wajeuri (Ngumi Mkononi)
4. Wana PhD"s za Matusi
5. Hawajui Kutabasamu
6. Wana Stress na Frustrations
7. Mabingwa wa Kugongea Misosi ya Watu na Kulazimisha kupewa Lifti nyakati za Jioni / Usiku
Kuna Mmoja nimekutana nae mahala nimemchanganyia Mihasira yangu ya Kimusoma (Mara Region), Gongo niliyokunywa na harufu ya Bange niliyopishana nayo katika Dirisha la Mtu na kwa majibu yangu niliyompa atakuja Kuwasimulieni Ofisini Kwenu na sina uhakika kama Kesho atakuja tena hapa tulipokutana leo kwa Majibu niliyompa.