GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Fafanua vizuri kwani Mbagala ni kubwa sana, Mbagala ipi? Au Maturubai, hapana. Rangitatu, hapana, Zakhiem, haiwezekani.Nashauri wale Wanajeshi MP wa Lugalo, waliowapiga ovyo ( bila Hatia ) Raia wa Kawe na Kuwatesa huku Wengine wakiwajeruhi vibaya wapelekwe huko Mbagala wakakabiliane na hawa Wahuni na Vibaka wa huko Mbagala ambao sasa wamekuwa ni Kero Kubwa kwa Wakazi wa huko hasa Wamama na Mabinti.
Hali si nzuri huko Mbagala hasa katika baadhi ya Vitongoni kwani Vijana Wahuni bila ya Kuogopa tena Wakijiamini kabisa wameamuwa Kuwabaka Wamama na Mabinti huku Wakivunja Nyumba zao na Kuwaibia Vitu vya Thamani na Kuwajeruhi vibaya kwa Mapanga, Bisibisi na Visu.
Apo apo maturubai kizuiani kama uliskia kiburugwa juhudi uko kuna m.s.enge anabaka watu saa moja asub.ui.Fafanua vizuri kwani Mbagala ni kubwa sana, Mbagala ipi? Au Maturubai, hapana. Rangitatu, hapana, Zakhiem, haiwezekani.
Huyo mpelekeni kwa mwenzake Dangote.Apo apo maturubai kizuiani kama uliskia kiburugwa juhudi uko kuna m.s.enge anabaka watu saa moja asub.ui.
Maturubai!? Hapo Maturubai wewe unakuja JF wakati hapo ndipo kilipo kituo kikubwa cha Polisi Mbagala pamoja na makazi ya Polisi! Baa zote za hapo pamoja na zinazokesha zimejaa maaskari, hebu weka vizuri hoja yako.Apo apo maturubai kizuiani kama uliskia kiburugwa juhudi uko kuna m.s.enge anabaka watu saa moja asub.ui.
Sio nakuja jf kizuiani naijua vema napajua kibudi uko kote kuna wahuni napajua ccm namba moja na namba 2 napajua kwa baresa napajua kona kali mpaka juhudi wewe utanambia nini wakati mimi ndo maeneo yangu mpaka mahali walipokuwa wanacheza boxing Tanali napaelewa.Maturubai!? Hapo Maturubai wewe unakuja JF wakati hapo ndipo kilipo kituo kikubwa cha Polisi Mbagala pamoja na makazi ya Polisi! Baa zote za hapo pamoja na zinazokesha zimejaa maaskari, hebu weka vizuri hoja yako.
Mimi nimeishi moringe pale kota za ccm ambazo walikuwa wanaishi maofisa wa jwtz kuna lodge maarufu inaitwa serengeti sasa kule nyuma ambako ni skwata kunaitwa kwa yamba wauni kibao alafu unasema nini.Maturubai!? Hapo Maturubai wewe unakuja JF wakati hapo ndipo kilipo kituo kikubwa cha Polisi Mbagala pamoja na makazi ya Polisi! Baa zote za hapo pamoja na zinazokesha zimejaa maaskari, hebu weka vizuri hoja yako.