Haswaa hapo kuna huyo dada mweupe anaitwa Heriet, mzuri kweli alisemwa sana mtaani miaka ya 1996-1997 kuwa ni kiruka njia ila alivyojiunga na hiyo kwaya....sauti ya pili ilimpa heshima kubwa sana kwenye jamii.Hapa sasa ndio penyewe
Ndio ni wakimbizi...nafikiri wa burundi na nyimbo nyingi walitunga wakiwa kambini kwenye mazingira magumuKumbe ni wakimbizi, kwakweli walibarikiwa, nyimbo zao hazichuji,kila siku ukizisikiliza hazichoshi.
Jamani!! Ana sauti nzuri sana huyo dada.Haswaa hapo kuna huyo dada mweupe anaitwa Heriet, mzuri kweli alisemwa sana mtaani miaka ya 1996-1997 kuwa ni kiruka njia ila alivyojiunga na hiyo kwaya....sauti ya pili ilimpa heshima kubwa sana kwenye jamii.
Huyo mama anayeimba "jamaani shangwee...shaaangwe tushangilie siimba wa yuda...."
ana roho nzuri sana.
Kwakweli God is great.Ndio ni wakimbizi...nafikiri wa burundi na nyimbo nyingi walitunga wakiwa kambini kwenye mazingira magumu
Hapo ndipo utaamini kuwa Mungu ni muweza.
Ila pongezi nyingi pia ziende kwa Radio Habari Maalum (RHM), Arusha.
Ishawekwa.Weka kapicha basi tuone
Mmhh! Hiyo mie bado aisei..![emoji15] [emoji15]Taarabu gospel ipo niliisikia nikachoka mwili na maini!!!
kaka kumbe tuko pamoja...tafuta nyimbo za steve crown,sinach hakika hutajuta kuwasikiliza wale wanaimba Gosple nzurimm gospel zang zlizopo kwa flash yang ni zile za wasabato hasa hawa wa rwanda ambassadors, christina shusho, neema mwaipopo, martha mwaipaja, kidogo na bahati bukuku... zaid ya hapo gospel zingine ni kutoka mambele huko mfano mwanadada ana ADA wimbo unaitwa I TESTIFY... kama kuna wengine unawajua wa kufanana na hao nipe majina nianze kuwafwatilia...
usinitajie rose muhando plz
Kabla ya kubatizwa jina la Ruby aliitwaje?Hao kina Gozbert wahamie bongo fleva tu kama alivyofanya mwenzao Ruby..
Ruby alikuwa anaimba gospel,akakutana na THT,akaangukia mikononi mwa Ruge akambatiza jina na kumpa jina la Ruby...
Leo Ruge amemtenda[emoji38][emoji38]!!bora arudi kwenye Gospelfleva tu kama Walter chilambo
SHANGILIENI ARUSHA MI NABARIKIWA SAN ATANGU MDOGO NA NILIIFUMA CD UKUBWANI NIKANUNUAHahaha...why not Rose Muhando?
Mimi katika nyimbo za Gospel zinazonibariki ni
Kwanza kwaya karibu zote za zamani. Hasahasa miaka ya 90-99 kama za Arusha mjini na Shangilieni. daaah
Pili, nyimbo za baadhi ya waimbaji wachache sana kama Christina Shusho, Abihudi Misholi, Ephraim Mwansasu na Bahati bukuku.
Lastly, ni nyimbo zote za kuabudu.
SUALA siyo kukariri ni ethics za kila field never mind kaimba nani na wapi viuno vina mahali pake kama unafuatilia tafuta nyimbo za kwaya za Zambia, Kongo Brazaville na Kongo DRC kabla ya mwaka 2000 kurudi nyuma utakubali na kuelewa nini ninachokilalamikia.Usikariri mambo,,,,kuna gospel nyingi tu mfano zambia wengi wao lazma wakate uno,, mimi nadhan ni tamaduni za sehemu tofaut
HahahaHahaaa!!! Eti wanatutania!!
Unasikiliza wimbo unawaza hiki kitu gani sasa, wimbo si wimbo kelele sio kelele basi tafrani tu.
Asee hao jamaa wawili wanao piga kinanda na gitaa ni ndugu!!?Haswaa hapo kuna huyo dada mweupe anaitwa Heriet, mzuri kweli alisemwa sana mtaani miaka ya 1996-1997 kuwa ni kiruka njia ila alivyojiunga na hiyo kwaya....sauti ya pili ilimpa heshima kubwa sana kwenye jamii.
Huyo mama anayeimba "jamaani shangwee...shaaangwe tushangilie siimba wa yuda...."
ana roho nzuri sana.
Mimi hiyo br 13 napenda zote ,tangu mwaka 89 kama sikosei nikiwa mdogo nimekuwa nikiipenda mpaka keshoBarabara ya 13
Naupenda Sana wimbo wa Samsoni , palikiwa na mtu pamoja na katikati viumbe vyote vilivyoubwa binadamu kaumbika kuliko vyote.
Kuna yule mbaba ana sauti ya kwanza ya kike nilikuwa napenda asisee!
Basi nakumbuka dogo alikuwa haelewi pale wanapoimba 'ajitwike msalaba wake,anifuate' akawa anaimba anjige njige msalaba wake.....
Watanzania wambeya sana....acha unaa weweMungu naomba unisamehe ilaa hawa wasanii wawili wa gospel kwakweli kila nikiwangaliaa huwaa siwamalizi na mapozi yao. Yani lips wanapaka lipshine na wanavyozipandishaa hizo nyusi kwenye picha zao yaani wanarembuaa mpaka wanapitiliza.
Wasanii wenyewe ni Gosbert wa 'ipo siku' na Paul Clement wa 'amenifanyia amani'. Yaani mapoz yao siyaelewi kwakweli ila nyimbo zao zinanibariki sana.
Hawa sijui kama ni ndugu, ila kuna watu wazima hapo hawapo tena nasi...Asee hao jamaa wawili wanao piga kinanda na gitaa ni ndugu!!?
Halafu huyo tall bado yupo!?
Daah! Walio tanguoa RIPHawa sijui kama ni ndugu, ila kuna watu wazima hapo hawapo tena nasi...
Ila kuna wengine mfano kuna huyo jamaa ambaye anaonekana sana na kumhoji mmama anaitwa Godfrey (Gody) na wengine bado wapo na wanasali St. James Kaloleni.
Huyo jamaa ndio mume wa Beatrice Muhone.