Hawa waimbaji wa injili mbona wana mapozi tata sana?

Hawa waimbaji wa injili mbona wana mapozi tata sana?

Mungu naomba unisamehe ilaa hawa wasanii wawili wa gospel kwakweli kila nikiwangaliaa huwaa siwamalizi na mapozi yao. Yani lips wanapaka lipshine na wanavyozipandishaa hizo nyusi kwenye picha zao yaani wanarembuaa mpaka wanapitiliza.

Wasanii wenyewe ni Gosbert wa 'ipo siku' na Paul Clement wa 'amenifanyia amani'. Yaani mapoz yao siyaelewi kwakweli ila nyimbo zao zinanibariki sana.

Tuwekee picha hapa maanake mimi sijawahi kuwaona.
 
Mkuu,ebu uanzishe halafu ututag memba wote tuliochangia humu,nasi tutawatag wengine...plz?
Msinisahau katika utukufu jamani....nakumbuka ule ulikua unaimba ..."Sauti hihiiii..sauti ikatokaaaaah...huyu ni mwanangu mpendwa mumsikilizeni atakayo wafundisha na myashikeni."..Halafu gitaa linapigwa hatari kama paradise vile...
 
Msinisahau katika utukufu jamani....nakumbuka ule ulikua unaimba ..."Sauti hihiiii..sauti ikatokaaaaah...huyu ni mwanangu mpendwa mumsikilizeni atakayo wafundisha na myashikeni."..Halafu gitaa linapigwa hatari kama paradise vile...
Haha nenda jukwaa la entertainment kule, uzi upo tayari
 
Wivu wa kike huu.

Paul Clement ni producer wa mda mrefu hata kabla Jux hajajua kama kuna mziki, 2007 ndiye aliyemuandali John Lissu albam ya Yu hai Jehova!

Pia ni muandaaji wa nyimbo za Christina Shushu ,Kilahilo etc!

Mungu wa Israel anaangilia Moyo na si kama wewe mtu wa dini ufanyavyo!

Pole sana,Ukiokoka utajua mambo ya Uungu!
Unatudanganya!,,
 
Bora mapozi na vimbato wanavyo pigilia je mwone gozbert hapo eti mpendwa
 
1479921199562.jpg
 
Huyo Gozbert naufahamu wimbo wake mmoja tuu, ila naamini kama huyo Paul naye anafanana naye basi hao jamaa ni material ya bongo fleva kabisa. Wanatembea kwenye level za Jux hivi sema wamesoma soko la muziki wa injili litawalipa zaidi.
Kama uliisikia ile ngoma ya momusic (basi nenda) basi gizbert ndo producer wa hii ngoma akijiita lolipop, now days anaimba injili hata jina la bongoflava halitaki.
 
Siku ya mwisho ndio wataosema Bwana Bwana nilihubiri na kufundisha kwa njia ya uimbaji kupitia Jina lako, ndipo Mungu atakaposema siwatambui ninyi.
 
Mungu naomba unisamehe ilaa hawa wasanii wawili wa gospel kwakweli kila nikiwangaliaa huwaa siwamalizi na mapozi yao. Yani lips wanapaka lipshine na wanavyozipandishaa hizo nyusi kwenye picha zao yaani wanarembuaa mpaka wanapitiliza.

Wasanii wenyewe ni Gosbert wa 'ipo siku' na Paul Clement wa 'amenifanyia amani'. Yaani mapoz yao siyaelewi kwakweli ila nyimbo zao zinanibariki sana.


Ni kwa sababu wale ni wasanii tu, si watu wa kuwafuatilia.
 
Kama uliisikia ile ngoma ya momusic (basi nenda) basi gizbert ndo producer wa hii ngoma akijiita lolipop, now days anaimba injili hata jina la bongoflava halitaki.
Sio producer to hata kutunga ametunga yeye
 
Naona moderators wameamua kutokumsamehe mleta mada, sina hakika kama ni kwa sababu ya uzi huu.
 
Basi nenda( mo music) moyo Mashine( Ben paul) na mapenzi ( Baraka da Prince) katunga gozbat ,,anaimba tu gospel ila sidhani kma kaokoka
 
Back
Top Bottom