sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Ni watu ambao kwa kipindi hicho walitupa hamasa na tukaona watafika mbali sana kwenye ujasiriamali lakini mambo ymekuwa ndivyo sivyo kwa wengi hasa wakivuka 30
Patrick Ngowi - Alikuwa na kampuni ya sola, aliingia madeni sijui yupo wapi kwa sasa
Jokate Mwegelo - Biashara ilianza kwenda hovyo, Teuzi Zikamuokoa.
Kuna yule kijana alieleta mfumo wa max malipo alilamba kama milioni 800 hivi, akavuta range kali sana, wapi siku hizi ?
Patrick Ngowi - Alikuwa na kampuni ya sola, aliingia madeni sijui yupo wapi kwa sasa
Jokate Mwegelo - Biashara ilianza kwenda hovyo, Teuzi Zikamuokoa.
Kuna yule kijana alieleta mfumo wa max malipo alilamba kama milioni 800 hivi, akavuta range kali sana, wapi siku hizi ?