Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
just google it, usinipotezee muda. goodle american army, halafu weka kwenye view picture uone majeshi yao walivyo. upo hapo?Ndio weka picha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
just google it, usinipotezee muda. goodle american army, halafu weka kwenye view picture uone majeshi yao walivyo. upo hapo?Ndio weka picha!
Ngassa, kichuya, zimbwe, harmonize, chama,wewe, na mfanano wenu
Wengi wenye vyeo hivyo ni umri wa kati na wana morali ya hali ya juu jumlisha maamuzi ya haraka.Ajabu nchi nyingi za Afrika magharibi zinapinduliwa na captains, Luteni kanali aghalabu kusikia major generals au brigedia
Wapate wanakula kishenzi lkn urefu wao Ni changamotoWanakula sana vyakula...
Huu ndio ukweli mkuu, jamaa ni wakubwa mno halafu wenyewe wanaona kawaida tu, futi sita marekani na ulaya ni kawaida wakati kwetu futi sita ni tallWatu wa kawaida au kati unamaanisha nini ? Mmarekani mwenye kimo cha kati kwa Tanzania au Japani ni giants, mtu ambaye Tanzania anaonekana mrefu kwa Marekani ni wastani au hata chini ya hapo, wale tunaowaita tall hapa kwetu akienda Ulaya wala hataonekana.
Hao early career/juniors wanatangulizwa tu. Wazee/Seniors wamekaa pembeni wanasubiria kugawana tenda serikaliniAjabu nchi nyingi za Afrika magharibi zinapinduliwa na captains, Luteni kanali aghalabu kusikia major generals au brigedia
Achana nae huyo kichwa majiWewe ndiye uliyeuliza kama nahitaji uniwekee picha, halikuwa wazo langu, Sir!
Ni utaratibu wa kijeshi mkuu..maboss huwa wanataarifiwa tu na hua wanatoa baraka zote wao ndio huwa wanakua wanaendesha nchi na kula mema ya nchi...Ajabu nchi nyingi za Afrika magharibi zinapinduliwa na captains, Luteni kanali aghalabu kusikia major generals au brigedia
Nani amekwambia wazaramu wana vimwili vidogo vidogo.Hiyo miili yao mikubwa ni asili yao na iliwagharimu sana Mababu zao wakasombwa sana kwny Biashara ya Utumwa
Bila shaka hakuna Mpare wala Mzaramo aliekuwa mtumwa kwa kuwa kwanza wana vimiili vidogo vidogo na hata nguvu za kazi hakuna
Nani amekwambia wazaramu wana vimwili vidogo vidogo.
Mimi ni mzaramo na ukoo wetu wote mfupi ni kuanzia 5.9 feet, na bila shaka wewe nimekuzidi nguvu mpaka urefu.
Acha kuspread hizi wrong information bila research wala experiment unless unafanya propaganda njaa.
Condescending statement from a patronizer and a disparagement spreader.
Hypocrite.
Nini tena hapo muacheni Mzee apumzikeHawa jamaa kama ndiyo wamesimama mbele yako halafu wanakwambia achia, lazima utoke baruti kama Ndugai, duh!
View attachment 2094811