Nitafanya kwa heshima Na taadhima kwako.Mkuu nifafanulie kidgo maana sina bible nyumbani
Mtafute wa mwaka juzi alafu ulete mrejesho.Habari za Vijiweni zilikuwa zinadai baada ya kukimbiza mwenge kiongozi wa mbio hizo ana Rest in Peace.
Nilikuja kuamini ni upuuzi baada ya Mzee wangu mdogo kukimbiza hadi leo mzima.Mtafute wa mwaka juzi alafu ulete mrejesho.
Sasa uhusiano na topic uko wap apo mkuu bujibujiNitafanya kwa heshima Na taadhima kwako.
Isaya : Mlango 50
11 Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge; endeni ninyi katika mwali wa moto wenu, na katikati ya mienge mliyoiwasha. Mtayapata haya kwa mkono wangu; mtalala kwa huzuni.
Umetisha mkuu1.Lazima huwe umekunywa juisi ya bendera ya chama
2.Hakikisha kuwa kuanzia mlangoni kwako kuna pazia la kijani,mezani na madirishani vitambaa vya kijani.
3.Lalia mashuka ya kijani na familia yako nzima.
Jaribu uone maajabu!ππππππ΅