Hawa wakimbiza mwenge kitaifa huwa wana sifa(vigezo) gani?

Hawa wakimbiza mwenge kitaifa huwa wana sifa(vigezo) gani?

Habari za Vijiweni zilikuwa zinadai baada ya kukimbiza mwenge kiongozi wa mbio hizo ana Rest in Peace.
Mh hata mi nilishawah kusikia kuwa hawa huwa wanadanja..but...mh..sina uhakika
 
Nafasi hiyo haitangazwi ili kila mtanzania mwenye sifa aombe. Inapatikana tokana babako, mjomba, kaka shangazi, binamu nk ana madaraka gani mtaa wa Lumumba Kariakoo. Vinginevyo uwe na kadi umoja wa vijana wa chama chapa ya Lumumba, vinginevyo ushikwe mkono na kigogo furani, (maana pana posho ndefu).
 
Nafasi hiyo haitangazwi ili kila mtanzania mwenye sifa aombe. Inapatikana tokana babako, mjomba, kaka shangazi, binamu nk ana madaraka gani mtaa wa Lumumba Kariakoo. Vinginevyo uwe na kadi umoja wa vijana wa chama chapa ya Lumumba, vinginevyo ushikwe mkono na kigogo furani, (maana pana posho ndefu).
Sawa mkuu
 
Kuna MTU hapa zakhemu ana tulisha matango poli eti kiongozi wa mbio ana andaliwa kila kitu Pia ana pewa mtoto mzuri wa kupumzika nae huku wengine mkikesha haya mambo yote ya kilatibiwa mkuu wa wilaya na mkoa.nimevutiwa sana na hii kitu. Leo nimeota kuteuliwa kuwa kiongozi wa mbio za mwenge. Ni ngependa kujuzwa haya
 
Unatuma maombi kupitia ofisi ya mkuu wa wilaya wako yeye ndo hutuma mkoani kisha wizarani ambao ndio huchagua watatu wakimbizaji kitaifa mwisho wankutuma maombi huwa desemba kila mwaka
 
Kuna MTU hapa zakhemu ana tulisha matango poli eti kiongozi wa mbio ana andaliwa kila kitu Pia ana pewa mtoto mzuri wa kupumzika nae huku wengine mkikesha haya mambo yote ya kilatibiwa mkuu wa wilaya na mkoa.nimevutiwa sana na hii kitu. Leo nimeota kuteuliwa kuwa kiongozi wa mbio za mwenge. Ni ngependa kujuzwa haya
Ni kweli mkuu,ni kutokana na shughuli nzito aliyonayo
 
Unatuma maombi kupitia ofisi ya mkuu wa wilaya wako yeye ndo hutuma mkoani kisha wizarani ambao ndio huchagua watatu wakimbizaji kitaifa mwisho wankutuma maombi huwa desemba kila mwaka
Kigezo? Ni kwa walioaskari tuu ama hata raia wa kawaida?
 
Kigezo? Ni kwa walioaskari tuu ama hata raia wa kawaida?
Ni mtu yoyote tu ndio maana kila mwaka utasikia wakimbizaji wanasifa tofauti kuna mwaka utasikia walimu, afsa kilimo bwana michezo mwanajeshi n.k
 
sifa nyingine uwe na mbio kweli kwelu zaidi ya kibaka
 
Back
Top Bottom