RAIS Yupi NaweHadi sasa tunao Joshua Nassari, Ambrose Lijualikali na Dr Mashinji
Sisemi kwa uhakika ila ni kama wanahujumu Serikali na Chama
Unapomfukuza shule mtoto kisa baba yake ni mpinzani Wewe lazima uwe Laanatula uliyetukuka
Mtanishukuru baadaye 🐼
Darasa la 7 tuUkuu wa wilaya unatakiwa uwe na elimu gani
Kabisa Mkuu Usengerema ulio TUKUKAChuki za sekinge sasa mtoto anahusikaje?
Bunda siyo Mkoa ni WilayaNassari alipoteuliwa Mkuu wa Mkoa wa Bunda akaanza operesheni ya kushushwa bendera za CHADEMA baadaye wakamuhamisha.
Dah noma..😄😄😄Ameoa bint wa Ndugai 🐼
Unataka kusema ni mamluki? wametumwa na Chadema kuipaka tope serikali tukufu ya CCM?Hadi sasa tunao Joshua Nassari, Ambrose Lijualikali na Dr Mashinji
Sisemi kwa uhakika ila ni kama wanahujumu Serikali na Chama
Unapomfukuza shule mtoto kisa baba yake ni mpinzani Wewe lazima uwe Laanatula uliyetukuka
Mtanishukuru baadaye 🐼
Mkoa wa Bunda??Nassari alipoteuliwa Mkuu wa Mkoa wa Bunda akaanza operesheni ya kushushwa bendera za CHADEMA baadaye wakamuhamisha.
Vijana wengi wana mihemuko. Ila lijuakali yule ana shida si bure sema ni vile tu siku hizi hawajali.Hadi sasa tunao Joshua Nassari, Ambrose Lijualikali na Dr Mashinji
Sisemi kwa uhakika ila ni kama wanahujumu Serikali na Chama
Unapomfukuza shule mtoto kisa baba yake ni mpinzani Wewe lazima uwe Laanatula uliyetukuka
Mtanishukuru baadaye 🐼
Halafu huyu Lijualikali alikuwa Librarian wa Kanisa Moja Takatifu La Mitume 😄Vijana wengi wana mihemuko. Ila lijuakali yule ana shida si bure sema ni vile tu siku hizi hawajali.
Sasa ugomvi wa mwalimu na mzazi kwanini umpe adhabu mtoto?
Dodo janja mtu poa sana kama umewahi kutana nae, yeye mtu wa kucheka tu hana shida kabisa.
Walikuwa hawana ajenda yeyote iliyowapeleka kule zaidi ya KUUNGA MKONO JUHUDI MFU.Nakumbuka Lijualikali alilia bungeni ati anaonewa na chama chake. Mwisho wao umefika!Hadi sasa tunao Joshua Nassari, Ambrose Lijualikali na Dr Mashinji
Sisemi kwa uhakika ila ni kama wanahujumu Serikali na Chama
Unapomfukuza shule mtoto kisa baba yake ni mpinzani Wewe lazima uwe Laanatula uliyetukuka
Mtanishukuru baadaye 🐼
Mimi nina swali kwako hiko kisiwa chako kikivamiwa na wageni huko tayari kukilinda huko ulipo?Hawa watu wa hivi na uamuzi wa hivi huwa wwnayatoa kwenye vichwa vyao vyenye funza
Sina upande wowote lakini kama leo anafukuza kisa upinzani basi kesho atakuja mwingine na kufukuza kisa ni Dini flani
Huu upambavu ni wa mtu mmoja na sio katumwa wala nini, anafaa atimuliwe ili isije kutokea kwa wengine
Hapana siko tayari kabisa kwani huku hakuna shobo wala majivunoMimi nina swali kwako hiko kisiwa chako kikivamiwa na wageni huko tayari kukilinda huko ulipo?
Wewe wafikili walio ccm katika teuzi mbali wanapenda kile chafanyika nchi hii, Mzee Warioba katoa ya moyoni mwake what next, utashangaa sana.Hadi sasa tunao Joshua Nassari, Ambrose Lijualikali na Dr Mashinji
Sisemi kwa uhakika ila ni kama wanahujumu Serikali na Chama
Unapomfukuza shule mtoto kisa baba yake ni mpinzani Wewe lazima uwe Laanatula uliyetukuka
Mtanishukuru baadaye 🐼
Wewe huko ulipo hali ikiwa tete wamevamiwa wanahitaji volunteer huko tayari kukilinda hiko kisiwa au la?Hapana siko tayari kabisa kwani huku hakuna shobo wala majivuno
Kuna veteran mmoja amesema tukichakazwa jeshi lina uwezo wa kupigana miezi 6 tu kama litapigana
Sasa nihangaike ya nini si bora niibe meli nije nipambane Znz
Huyo mgonjwa wa zika amesha surrender akili zake kwa guluguja makallaChadema ni damu! Sio cheo.
Hata Dr mollel ni pure chadema
Lijualikali ni Nusu mwehu kabisa hata nashangaa wanaomvumilia kwenye hiyo nafasi. Sidhani kama CCM mkoa wa Rukwa inaunga mkono Lijualikali kuwa DC Nkasi. Tabia za uasherati na wake za watu, rushwa toka Kwa watumishi hasa Maafisa uvuvi ziwa Tanganyika, uporaji wa Ardhi kijiji cha Kakoma iliyomegwa toka pori la akiba Lwafi, kuingilia maamuzi ya wataalamu nk, yote haya CCM wanayajua na MH Rais alipozuru Rukwa mwezi Julai aliambiwa.Hadi sasa tunao Joshua Nassari, Ambrose Lijualikali na Dr Mashinji
Sisemi kwa uhakika ila ni kama wanahujumu Serikali na Chama
Unapomfukuza shule mtoto kisa baba yake ni mpinzani Wewe lazima uwe Laanatula uliyetukuka
Mtanishukuru baadaye 🐼
Mkuu to be honest ni lazima nikubali lolote serikali itakavyotakaWewe huko ulipo hali ikiwa tete wamevamiwa wanahitaji volunteer huko tayari kukilinda hiko kisiwa au la?
Jeshi ndio lishazidiwa hiyo miezi 6 imepita MoD inahitaji volunteer wenye uwezo as third line of defence.
Usijibu kishabiki but from the bottom of your heart.
Lengo ni moja hawa watu lazima waelewe nationalism propaganda sio mambo ya mzaha, huu upuuzi wao wa kuchukulia shughuli za mashujaa ni poa tu kuzifuta au mwenge wa uhuru aina maana kisa events zake waandaaji hawana mbinu za propaganda wakati ni mambo ya msingi kwa taifa.
Be honest hiko kisiwa chenu kikivamiwa jeshi ndio lishashindwa MoD inahitaji volunteers hata kama sio kupigana bali kusaidia war efforts utanyuti tu nyumbani.
Be honest, hawa watu lazima waelewe propaganda za uzalendo sio swala la mzaha