Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Kama tunahitaji Maspika goigoi wa kuburuza wako wengi sana. Lakini kama tunahitaji Spika imara wa kuisimamia serikali kwa kumsaidia Rais kukamilisha kazi basi hawa walazimishwe kuchukuwa fomu kwa nguvu wapende wasipende:
1. Joseph Butiku
2. Kassim Majaliwa
3. Palamagamba Kabudi
(wazungu walilalamika kwamba aondolewe mambo ya nje kwa sababu kila akihutubia wazungu lazima watafute dictionary)
4. Mark Mwandosya
5. David Kafulila
Reserve:
1. Stephen Wassira (mtu na mpwa wake)
2. Bernard Membe
3. January Makamba
4. Fatma Karume
5. Makongoro Nyerere
6. Philip Mangula
7. Dr. Wilbroad Slaa
Taswira zote kwa hisani ya google.
1. Joseph Butiku
2. Kassim Majaliwa
3. Palamagamba Kabudi
(wazungu walilalamika kwamba aondolewe mambo ya nje kwa sababu kila akihutubia wazungu lazima watafute dictionary)
4. Mark Mwandosya
5. David Kafulila
Reserve:
1. Stephen Wassira (mtu na mpwa wake)
2. Bernard Membe
3. January Makamba
4. Fatma Karume
5. Makongoro Nyerere
6. Philip Mangula
7. Dr. Wilbroad Slaa
Taswira zote kwa hisani ya google.