Hawa waliotuletea network marketing wanatumalizia vijana wetu ari yakutafta pesa


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ahhh wap, hakuna pesa ya kirahisi hivyo. Mafanikio ya hao jamaa huwa ni idealistic tuu.
Nayo ni biashara kama biashara zingine tu; wako waliofanikiwa na wako ambao hawajafanikiwa, inategemea tu....
 
Mkuu nilishawahi fanya kazi kwenye kampuni moja hivi ya kusambaza vyombo,yaani nilifanya kazi mwezi mzima nakuja kuambia kwenye akaunti yangu nina 2300,mbona niliondoka na vyombo vyenyewe
PUMBAVU ZAO HAO KAMPUNI
 
Mi kuna demu wa NIT Nilikuwa namfukuzia! Kabla sijampata akanambia eti anipeleke kwenye Seminar MAKUMBUSHO, Mi nakutaka wewe na sio seminar! Kilichofata nimekosa VYOTE! K nimekosa na Ubilionea pia nimekosa!
 
Mi kuna demu wa NIT Nilikuwa namfukuzia! Kabla sijampata akanambia eti anipeleke kwenye Seminar MAKUMBUSHO, Mi nakutaka wewe na sio seminar! Kilichofata nimekosa VYOTE! K nimekosa na Ubilionea pia nimekosa!

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila we jamaa umenivunja mbavu,c ungechagua ata ubilionea mkuu il usikose vyote
 
Katika kila maisha lazima kuwe na mizania isiyo sawa...

Lazima awepo wa kutawala na kutawaliwa...
 
Mkuu nilishawahi fanya kazi kwenye kampuni moja hivi ya kusambaza vyombo,yaani nilifanya kazi mwezi mzima nakuja kuambia kwenye akaunti yangu nina 2300,mbona niliondoka na vyombo vyenyewe

Mkuu ni elfu ishirini na tatu au elfu mbili mia tatu..??

Ungeondoka na kampuni kabisa aiseee sio kwa mshahara huo
 
Tatizo nyie wabongo wengi wenu wavivu. Mimi nmeacha kazi ya uhasibu. Nina miaka mitatu huku forever living. Maisha nmeyapatia sio kidogo kupitia FL. Ukizungumzia mihela naipata kama yooote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…