Mkuu nilishawahi fanya kazi kwenye kampuni moja hivi ya kusambaza vyombo,yaani nilifanya kazi mwezi mzima nakuja kuambia kwenye akaunti yangu nina 2300,mbona niliondoka na vyombo vyenyewe
Qnet walimteka mdogo wangu na maneno mazuri anakuja na habari za million tano saa uzuri kuna nyuzi nilisoma humu nikamzaba makofi mbele ya mama ake akili ipo sawa
huwa wanatoa ahadi kubwa mno za mafanikio,kiuhalisia hizi ni biashara kama biashara zingine, kuna kupata au kukosa, ndio maana kuna wanaofanikiwa na wasiofanikiwa. Mimi niliifanya miaka mitatu nikaachana nayo.