Hawa waliotuletea network marketing wanatumalizia vijana wetu ari yakutafta pesa

Hawa waliotuletea network marketing wanatumalizia vijana wetu ari yakutafta pesa

Mmoja alikuja kanisa tunaloabudu... Basi kumbe anaangaliangalia nani wa kuwaingiza king... Basi jamaa mmoja akawa interested.. Unajua mtu akiwa hana kazi, kipindi hicho jamaa yangu alikuwa jobless... Basi kutowakatisha tamaa na mimi nikaenda kuhudhuria semina, walifanyia kipindi hicho hapo ukumbi fulani hapa town...Basi wakaanza, kila mmoja anakuja na sound jinsi alivyofanikiwa kwa biashara hiyo, sikukumbuki walikuwa ni bidhaa gani.. Basi na mimi nikawaambia, yes naona hii kitu inalipa.. Sasa ngoma ikaja kulipa sh.. 300,000 au zaidi kidogo.. Jamaa yangu akalipa... Aliponifuatilia zaidi, nikwamwambia, nina biashara yangu nafanya..Hivyo nakoconcentrate kule... Hakukata tamaa baada ya muda.... Sikumuona tena na kanisani akawa hayupo.
 
Mkuu nimecheka sana nilivyomaliza kusoma uzi huu,kuna boya flani alinipeleka bila kujua mara tukaingia kwenye ukumbi sijui walikuwa na semina ,
Wanavyocalculate mambo ya hela ukiwa na kichwa cha panzi asee utasema kesho tu nikilala naamka tajiri dadeki njoo kwenye uhalisia sasa,

Eti kapafyumu kadoncho kinyama kanauzwa elfu 15 dadeki nani anunue kwa usawa huu.
Hahaa wale na hisi muda sio mfupi wataanza kushikwa na uchizi
 
Vile vijamaa vinavaa suti na kushika simu za iPhone za kukodisha ili kushawishi vijana..
 
Hawa vijana ni wapumbavu sana..namba yangu ya simu wameitapanya kwa kila boss wao wa network marketing mpaka nje ya nchi.

Wapuuzi hushindana kunikaribisha kuhudhilulia seminars zao ,

Kuwakomesha huwa nawaomba sh 150,000 kama nauli na gharama ndogo ndogo ili nifike ofisini kwao kwa sababu najua hawana hata 10,000.
hahaha una roho mbaya sana
 
Back
Top Bottom