Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mwendazake anaweza kupiga chafya huko kaburini akiona haya yanaoyoendelea
machozi yananilenga lenga !Maskini wanatia huruma sana , huyo umbwa mchungaji wa mtaani alivyokua anavaa maviatu kama stuli na suruali bwanga anamfagilia mfalme juha leo kabadilika mweeee mweeee mweeeee kumbe kuumbuka ni dakika sifuri hapa Duniani, kwakweli kifo cha jiwe ni funzo katu na kamwe tusiwe na viburi na majigambo
Natamani kusema kitu ila naogopa ban
Funguka kimafumboNatamani kusema kitu ila naogopa ban
njaa sio nzurii 😀😀😛
Huyu wa katikati anafanana na Masanja Mbona?.
Masanja ni Mchungaji mnafiki.Huyu Mkandamizaji aliyekuwa anamsifia mtu kuliko Mungu na kulala mabarabarani huku akisifia ujinga leo anafanya haya !
KabisaaWameshasoma alama. Tayari wamegeuza upande wa mwelekeo. Wazee wa fursa. Haki ya nani wanafiki wa namna hii hata wakichomwa moto ni halali.
Kheee!!!!,Na Msikiti tena.huyu kijana ni mtu wa fursa , ana kanisa lake la magumashi na kuna taarifa kwamba anataka kuanzisha msikiti