Hawa wameanza lini kampeni dhidi ya Corona ?

Hawa wameanza lini kampeni dhidi ya Corona ?

Hio ni Kampeni au Biashara..., sidhani kama hivyo vidubwasha hapo mbele wanavigawa bure...

Its all about money these days...
 
Maskini wanatia huruma sana , huyo umbwa mchungaji wa mtaani alivyokua anavaa maviatu kama stuli na suruali bwanga anamfagilia mfalme juha leo kabadilika mweeee mweeee mweeeee kumbe kuumbuka ni dakika sifuri hapa Duniani, kwakweli kifo cha jiwe ni funzo katu na kamwe tusiwe na viburi na majigambo
 
Maskini wanatia huruma sana , huyo umbwa mchungaji wa mtaani alivyokua anavaa maviatu kama stuli na suruali bwanga anamfagilia mfalme juha leo kabadilika mweeee mweeee mweeeee kumbe kuumbuka ni dakika sifuri hapa Duniani, kwakweli kifo cha jiwe ni funzo katu na kamwe tusiwe na viburi na majigambo
machozi yananilenga lenga !
 
Haa 😂😁😀
COVID 19 Haipo Tanzania
Mabeberu Hawatupendi



Hao Sasa Hivi Wameshaona Dude Limesambatisha Chamwino Sembuse Wao
 
Back
Top Bottom