Hawa wanafaa kuandaliwa kwa ajili ya Urais 2040, siyo dhambi tuwajenge tufaidike

Labda Urais wa Wasafi[emoji1787][emoji119]
 
WEWE NI FALA KBS !!
hata kama ni mtizamo wako ww ni fala Sana ...

HIVI HAUJUI YA KUWA WEWE NI BORA KULIKO HAO
 
uwezo wa kufikiria wa kijana aliyekosa ajira ndio huu?
 
Yaani Tanzania ya baadae itakuwa ya hovyo såna, kama hao Walamba viatu ndio wanaonekana watakuwa Marais duh
 
Hapo pa Mrisho Gambo nakukubalia

2030 namuona Mwigulu Nchemba akiingia Ikulu
Jua kwanza Mwigulu sio Mkatoliki kwahiyo X. Gambo ni X anaonekana mwenye wasiwasi muda wote anategemea ushirikina
 
Naona Urais wa Tanzania hivi sasa unachukuliwa kama shamba la bibi...
Watu wanautaka kwa madhumuni ya kuvuna tu na si kulifanya taifa lipige hatua katika nyanja zote za maendeleo kwa watu na nchi kwa ujumla.
 
Tutakuwa wote kwenye hiko kinyang'anyiro, jipange vyema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…