Hawa wanaJF wafungue tu band yao

Hawa wanaJF wafungue tu band yao

Wale wote wageni wa JUKWAA letu hili penda la CHITCHAT nawakaribisha sana jukwaa hili.Humu ni sehemu salama kabisa ya kuchati chochote unachojisikia ila usivunje sheria za JamiiForums.com.

Hahahahaha karibuni sana kwenye band yetu JamiiForums

band.png


Wakuu naomba katika uzi huu tuchangie kistarabu usije ukafutwa tena.Usitukane wala nini just cool down

Kwa sababu zinazojulikana za tabia za hawa watu naomba wakifungua band wakawa pamoja band yao itapata umaarufu zaidi na itakuwa ni band yenye mafanikio mno

Hawa ni baadhi ya members kwenye hiyo band(Hawa kwa namna moja au nyingine wanafanana vitu vingi sana hapa JF)

1.Money Penny(Master wa band)
2.Deogratias Kisandu
3.Beira Boy(London Baby Boyb)
4.HR666
5.The nation aka LEMUTUZI
6.Sexless
7.Youngtz
8.Gudume
9.kikoozi
10.alonso14
11.


Hii band bado haijakamilika hivyo jazia watu wenye sifa za kujumuishwa kwenye hii band.

Karibuni kujazia Band members!

Deadbody,
JamiiForums.
Kuna Jamaa mmoja enzi za 2008 alikuwa na mawazo hayo hayo nafikiri aliitwa kula bleki au brekii.

Nalendwa.(sauti)
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe na yeye empty set
Shunie.... who are you by the way t'll u call your fellow human being.... "empty set....

Scientifically can you prove which measure u apply'd to dertimine some one,s.. mind?..
Don't you think in second hand you muy be the gretest mad than one's u mantioned above??
 
Shunie.... who are you by the way t'll u call your fellow human being.... "empty set....

Scientifically can you prove which measure u apply'd to dertimine some one,s.. mind?..
Don't you think in second hand you muy be the gretest mad than one's u mantioned above??
Ebu achana na mm mxxiuue angalia niliyekua naongea nae
 
Back
Top Bottom