Hawa WanaJF wangekuwa timu zilizoshiriki Kombe la Dunia 2018 nadhani wangekuwa timu hizi

Wooooozeeeerrr[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Sema kweli jamani
 
Najua wanawake wengi wa JF wanapenda kuishabikia Brazili kwa kuwa nywele zao zinatoka huko.

Ukibisha hili utakuwa umenikosea adabu sana.
 
ina maana wengine hujatuona kabisa yaani hujui kuwa mm ni MAMA MFUNDAJI humu mjengoni tena mama la kutoa masomo mjengoni hapa au kwsababu ujapitishwa tangia mwanzo uone makeke yangu hebu niweke kwenye list bhana kabla sijaezeka paa ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…