So tusiokuwamo hatujulikani kaah![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]tutake radhi!
Najua wengi tunapenda Mpira sasa leo mwenzenu nahisi kama hawa member wangekuwa Timu zilizoshiriki kombe la Dunia wangekuwa kama ifuatavyo:
1. Mshana Jr -Crotia
2. Hajar -Belgium
3. GENTAMYCINE -Panama
4. Demiss - England
5. Davet - Germany
6. Humble African - Russia
7. mumu -Morocco
8. Mwifwa -Portugal
9. Hazard fc -Spain
10. Mama Sabrina -France
11. Shunie - Brazil
12. hearly -Nigeria
13. Mzigua90 - Peru
14. Kiranga -Japan
15. GuDume -Egypt
Demiss mm mshabiki namba moja wa England na Crotia.
Demiss huwa unanipatia sana yaani kama vile huwa unapigaga nyanga kabla ya kunizungumzia.
Mimi ni professional footballer kabisa nilishawai kuchezea Toto afrika ya mwanza nikiwa na kocha Billo au bilali kwa msimu mzima nikiwa kama Mido 8 matata sana...kipindi Nina ball balance, ball nature na ball control, kwa jeuri nilikuwa natema mate kulia nafukia kushoto..then nikaenda Olympic star ya Burundi baadae nikaachana na soka na kwenda masomoni.
Kwa kuniweka Russia kwa wazee wa shoka na mpera mpera..umenitendea haki!
France hivi bado imo kweli mi hata mpira siangaliiwewe timu gani eti
Sasa mbona hata mimi namtaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shabiki wa ndondo cup nimejibanza kwenye kona
Kumbe tusiojulikana tunatengwa?
Basi mimi babu yenu kwenye World Cup nipo team Simba Sports Club
Kichuya hoyee
Ipo bado karibu tuishabikie.France hivi bado imo kweli mi hata mpira siangalii
[emoji23][emoji23][emoji23]hahaha Anataka kujua ...""!? haumwi pressure "" asije kuzimia bure ""..
ameshakuleteaa maana Mama Sabrina analoo jumapilii,yeye si ndo france uliempendekezaaNamuombea aniletee kombe nyumban
Hahahahaha tutatoboa
hahahahahaaa demis alishindwa ilaa naona hapa banned aiseeHahahahaha tutatoboa
Wewe nakujua mie tu!So tusiokuwamo hatujulikani kaah![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]tutake radhi!