hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
haha hahaha...... simba ""!?Kumbe tusiojulikana tunatengwa?
Basi mimi babu yenu kwenye World Cup nipo team Simba Sports Club
Kichuya hoyee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haha hahaha...... simba ""!?Kumbe tusiojulikana tunatengwa?
Basi mimi babu yenu kwenye World Cup nipo team Simba Sports Club
Kichuya hoyee
Najua hilo. Ila unapomwambia mwenzio kuwa hafahamika au hajulikani wakati ni mwenzetu humu ni dharau. So hadi ujulikane ndio uwepo, ndio maana nikatoa ushauri kuwa hawana haja ya kusikitika. Wanaweza na wao wakaunda group lao na wakafahamiana vizuri then wakawa wanasifiana na kufanya mambo mengi mazuri pamoja bila ya kudharauliana. Kwangu mimi ingetosha kumwambia kuwa nilikusahau then nikampa team ili hasijihisi mnyonge. Hizi ndio busara za babu zenu.duuuuhhh hahahha...by the way " JF ina members wengi mnooo ambao ni famous " nivigumu mnooo "" kwa muhusika na mada kuweza kuwakumbuka na kuwataja wote " kwenye Uzi mmoja "...
hahah kwani wewe demiss nimgeni kwako "" imani yangu nikwamba " alitoa ile tense..kiutani tu hakuwa anamaanisha "" kihivyo ""..Najua hilo. Ila unapomwambia mwenzio kuwa hafahamika au hajulikani wakati ni mwenzetu humu ni dharau. So hadi ujulikane ndio uwepo, ndio maana nikatoa ushauri kuwa hawana haja ya kusikitika. Wanaweza na wao wakaunda group lao na wakafahamiana vizuri then wakawa wanasifiana na kufanya mambo mengi mazuri pamoja bila ya kudharauliana. Kwangu mimi ingetosha kumwambia kuwa nilikusahau then nikampa team ili hasijihisi mnyonge. Hizi ndio busara za babu zenu.
nakuona ng'olo kanteMfaransa nipo hapa
Si unapenda mi Peruvian hair wew[emoji23] [emoji23]Peru [emoji23]
Eeeh. Peru na Brazil timu zanguSi unapenda mi Peruvian hair wew[emoji23] [emoji23]
Najua wengi tunapenda Mpira sasa leo mwenzenu nahisi kama hawa member wangekuwa Timu zilizoshiriki kombe la Dunia wangekuwa kama ifuatavyo:
1. Mshana Jr -Crotia
2. Hajar -Belgium
3. GENTAMYCINE -Panama
4. Demiss - England
5. Davet - Germany
6. Humble African - Russia
7. mumu -Morocco
8. Mwifwa -Portugal
9. Hazard fc -Spain
10. Mama Sabrina -France
11. Shunie - Brazil
12. hearly -Nigeria
13. Mzigua90 - Peru
14. Kiranga -Japan
15. GuDume -Egypt
16. (USER=289544 ) Kim John Un-Saudi Arabia
Mi najua ndio. Ila siunajua mkuu kuna mtu mwingine haelewi ataona kama amedhihakiwa vile.hahah kwani wewe demiss nimgeni kwako "" imani yangu nikwamba " alitoa ile tense..kiutani tu hakuwa anamaanisha "" kihivyo ""..
oaky ...basi " enjoy ""...Mi najua ndio. Ila siunajua mkuu kuna mtu mwingine haelewi ataona kama amedhihakiwa vile.
Najua kama ni utani. Na nina penda vitu kama hivi coz kuna watu wao kila siku ni siasa tu hakuna kingine.
Na nina wapongeza wote wanaoleta uzi kama hizi kutuondoa huko.
Hahahaha, jijini Paris tayari tumeshaanza kuandaa sherehe ya kuchukua kombe la dunianakuona ng'olo kante
Demiss mm mshabiki namba moja wa England na Crotia.
Aiseee e..mnambwembwe sana ""..Hahahaha, jijini Paris tayari tumeshaanza kuandaa sherehe ya kuchukua kombe la dunia
sitakiItakuwa Senegal