Hawa WanaJF wangekuwa timu zilizoshiriki Kombe la Dunia 2018 nadhani wangekuwa timu hizi

Demiss huwa unanipatia sana yaani kama vile huwa unapigaga nyanga kabla ya kunizungumzia.

Mimi ni professional footballer kabisa nilishawai kuchezea Toto afrika ya mwanza nikiwa na kocha Billo au bilali kwa msimu mzima nikiwa kama Mido 8 matata sana...kipindi Nina ball balance, ball nature na ball control, kwa jeuri nilikuwa natema mate kulia nafukia kushoto..then nikaenda Olympic star ya Burundi baadae nikaachana na soka na kwenda masomoni.

Kwa kuniweka Russia kwa wazee wa shoka na mpera mpera..umenitendea haki!
 
Wazeee wa Technology
 
Mshana jr vs Demiss

Leo hiyo...

Kiwanja hakitoshi... Zile nyasi sasa pale kati...
 
Uwwwii wifi basiii Mimi mambo za vilingeni na kulimishwa usiku wa ma8 wala siwezi jomonii...ntakondaa..basi mmwaaaaahh cha mdeko malaika[emoji12][emoji12][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo kuna mechi Demiss na Mshana mshindi sjui nan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…