Baada ya kuitumikia jamii kupitia sanaa na muda wao kwisha yalianza maisha ya kupungua umaarufu au umaarufu kwisha kabisa na sasa ni raia wa kawaida tuJana katika pita zangu nikakutana na Kipande cha Gazeti katika nyumba ya babu yake na rafiki yangu, kikiwa kimebandikwa ukutani kikiwa na majina ya wachezaji wazamani....
Nikataman kujua wako wapi na wanafanya nini kwa Sasa
1. Jera Mtagwa
2. Ibra Washokela
3. George Masatu Kisiki
4. Wastari Baribari
5. Manara wote wawili
6. Fumo Felician
7. Quresh Ufunguo
8. Mwanamtwa Kiwelu
9. Thobias Gaga (gagarhino)
10. Nteze John Rungu
11. Edibily Jonas Lunyamila
12. Saidi maulidi SMG
13. Makumbi Juma
14. Abeid Mziba
Hamis Gaga nakumbuka alipatwaga sekeseke la ujambaziHamis Gaga na Jera Mtagwa wote Marehemu
No 13...Makumbi Juma yuhai!...kafa lini? .# 13 alishafariki
# 11 huyo yuko mbezi ya kimara huko
#10 aliendaga marekani kitambo sjui kama alirudi
Ova
Duh Nmechanganya na mavumbi omari kmbeNo 13...Makumbi Juma yuhai!...kafa lini? .
Sikumbuki ila alikuwa mtu wa kunywesha sana na hana kitu mpaka kukawa na story watu wanaharibu. Kuhusu watu wa kazi pana beki mmoja wa kati wa simba pana siku kaharibu mchana kweupe tazara pale kinomanoma mwengine ni Michael poul nylon nae alikuwa kimtindo na michezo hiyo hasa ya magari. Jujuman pia wanadai alikuwa mtu wa ngoma (mkwaju )baada ya mambo ya mpira kuisha.Hamis Gaga nakumbuka alipatwaga sekeseke la ujambazi
Ova
Hamis Gaga nakumbuka alipatwaga sekeseke la ujambazi
Ova
Hivi George Lucas Gaza yupo wapi sasa hivi?