Hawa wanatutumia sms tujikinge na matapeli mbona wao pia ni kama matapeli?

Hawa wanatutumia sms tujikinge na matapeli mbona wao pia ni kama matapeli?

pye Chang shen

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
11,422
Reaction score
6,108
Nimelipia malipo ya zuku kupitia airtel money 79,000/= na service charge wamechukua, malipo hayakufika palipokusudiwa, huduma ya zuku nimezimiwa, nimewasiliana na mhudumu wa airtel amenijibu short cut kuwa hela yapo iko hewani subiri masaa 36,sasa nakaaje muda wote huo bila huduma?

Na je hela yangu watailipia interest?

Na je nikilipa hela nyingine halafu na ile ya kwanza ikaenda huko huko pia si nitakua nimelipa niezi miwili bila kupenda?

Je hapa kama ni tapeli ni airtel au zuku?
 
Nimelipia malipo ya zuku kupitia airtel money 79,000/= na service charge wamechukua, malipo hayakufika palipokusudiwa, huduma ya zuku nimezimiwa, nimewasiliana na mhudumu wa airtel amenijibu short cut kuwa hela yapo iko hewani subiri masaa 36,sasa nakaaje muda wote huo bila huduma? Na je hela yangu watailipia interest? Na je nikilipa hela nyingine halafu na ile ya kwanza ikaenda huko huko pia si nitakua nimelipa niezi miwili bila kupenda?
Je hapa kama ni tapeli ni airtel au zuku?
Wale ni wahuni nao, wameshindwaje kukomesha hiyo tabia, labda wana syndicate
 
Nakushauri hama Airtel au ukitaka kufanya malipo usitumie Airtel,, nishawai tuma ela Ela ya hospitali 500k alaf ikakaa wiki haijaenda bahat nzuri nilikua na backup nikatuma kwa mtandao mwingine.
 
Masaa 36 yamepita, nimewaulizia eti wanasema ndio kwanza saa hii ni masaa nane eti wanahesabu masaa ya kazi🤣
 
Back
Top Bottom