masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Wafanyabiashara wanaandamana kwa kufunga maduka nchi nzima.
Kodi hazieleweki.
Madeni ya nchi yanazidi kupanda.
Viongozi matumizi yako juu sana, ma VX hadi kwa watoto wao.
Nyie wanyaturu vipi lakini?