Hawa wasanii wana enjoy kweli kuwepo kwenye kampeni?

Hawa wasanii wana enjoy kweli kuwepo kwenye kampeni?

Saa Saba mchana eneo kama uwanja wa Taifa ..mnakusanywa kama wanafunzi mshiriki kampeni ya chama ..

Hivi kweli hawa wasanii wetu wakubwa Wana enjoy?Wanafurahia?..wangeweza kukataa bila kutishiwa kushughulikiwa
Wangeshiriki??..

Sioni how msanii mkubwa ulazimike Ku perform kwenye jua Kali saa Saba mchana
Halafu useme una enjoy??
MC mwenyewe Polepole? Ndo anakuita jukwaan?..

Hii ni burudani au 'hakuna namna ya kukataa?
political captives
 
Hata kama hawalipwi vizuri, hawawezi kuataa.
Diamond alisema kila Show Bongo analipwa milioni 100
Sasa hadi sasa kafanya show za CCM zaidi ya 7
Ndio tuseme kalipwa milioni 700
Bado Alikiba na wengine
Hapo aidha CCM wanatumia mabilioni ya kodi zetu au wanadhulumu wasanii
 
Hata kama hawalipwi vizuri, hawawezi kuataa.
Diamond alisema kila Show Bongo analipwa milioni 100
Sasa hadi sasa kafanya show za CCM zaidi ya 7
Ndio tuseme kalipwa milioni 700
Bado Alikiba na wengine
Hapo aidha CCM wanatumia mabilioni ya kodi zetu au wanadhulumu wasanii

Wanalipwa chochote Polepole anachopanga
Magufuli amlipe Diamond million 100?
Sidhani
 
Saa Saba mchana eneo kama uwanja wa Taifa ..mnakusanywa kama wanafunzi mshiriki kampeni ya chama ..

Hivi kweli hawa wasanii wetu wakubwa Wana enjoy?Wanafurahia?..wangeweza kukataa bila kutishiwa kushughulikiwa
Wangeshiriki??..

Sioni how msanii mkubwa ulazimike Ku perform kwenye jua Kali saa Saba mchana
Halafu useme una enjoy??
MC mwenyewe Polepole? Ndo anakuita jukwaan?..

Hii ni burudani au 'hakuna namna ya kukataa?
Kila msanii anataka awe karibu na chama tawala, mpaka watu wanafanya mambo ya ajabu eti vijana wanajiita Magufuli Gang, yani nilicheka sana.
mtu kama diamond anataka awe karibu na utawala umlinde, sasa si unajua yeye kwa sasa ni mchonga njia, kila msanii naye anataka kipande cha keki cha kuwa karibu na utawala. siyo kwamba wanafurahia sana ila wanataka tu wanachohisi kiko mbele.
 
Hao ni mateka, kinachopendwa ni walicho nacho na hawana uanuzi wa kukataa wanajua kitachofuata.
Wengine njaa inawasumbua yukiwaweka pembeni wenye pesa zao

Hapo ndipo namkumbuka Bob Marley na wimbo wake wa "Redemption Song"!
 
Saa Saba mchana eneo kama uwanja wa Taifa ..mnakusanywa kama wanafunzi mshiriki kampeni ya chama ..

Hivi kweli hawa wasanii wetu wakubwa Wana enjoy?Wanafurahia?..wangeweza kukataa bila kutishiwa kushughulikiwa
Wangeshiriki??..

Sioni how msanii mkubwa ulazimike Ku perform kwenye jua Kali saa Saba mchana
Halafu useme una enjoy??
MC mwenyewe Polepole? Ndo anakuita jukwaan?..

Hii ni burudani au 'hakuna namna ya kukataa?

Mradi mkono uende kinywani
 
Kama wanalipwa Basi watakuwa wana-enjoy hata kwa kujidanganya.
 
Mleta mada kumbe uko shallow sana aisee, we kwa fikra zako unafikiri wanaperform bure pale??

Na anaetakiwa kuenjoy si msanii bali ni mshabiki/mtazamaji

Hichi ndo kipindi wasanii wanavuna mpunga ukizingatia dunia imekuwa kwenye lock down kwa miezi kadhaa iliyopita hvyo njaa mifukoni imecharaza kotekote
 
We mzee hii akaunti yako yako utakuwa umemuachia mjukuu wako aitumie,msanii yupo kwenye mode ya kampeni,kampeni inaisha saa 12 lakini bado unauliza kwa nini anaperform saa 7 mchana,ulitaka aperform usiku amwimbie nani sasa.

Kweli chuki ukihifadhi unaishia kudhalilika tu.
 
Kama wanalipwa Basi watakuwa wana-enjoy hata kwa kujidanganya.

Kuna msanii mmoja mrefu hivi tumbo kubwaaa kama kidondofira na kichwa kimekaa kama sufuria la mama ntilie simuoni siku hizi vipi kwani nini kimemsibu?jjjjjjjj............?
 
Saa Saba mchana eneo kama uwanja wa Taifa ..mnakusanywa kama wanafunzi mshiriki kampeni ya chama ..

Hivi kweli hawa wasanii wetu wakubwa Wana enjoy?Wanafurahia?..wangeweza kukataa bila kutishiwa kushughulikiwa
Wangeshiriki??..

Sioni how msanii mkubwa ulazimike Ku perform kwenye jua Kali saa Saba mchana
Halafu useme una enjoy??
MC mwenyewe Polepole? Ndo anakuita jukwaan?..

Hii ni burudani au 'hakuna namna ya kukataa?
CCM chanzo Cha matatizo
 
Hahahah nimecheka sana kwa hii comment yako, sahivi wanapewa kwa foleni.
Ugawaji wa kofia kwa kila msanii imeshusha hadhi ya kofia aliyopewa diamond akaenda kuweka kwenye kabati ya tuzo
 
Kwa wasanii ambao hawapati show wanafurahia ,maana kuna wengine kupata show ngumu.

Ila kwa watu kama kina kiba ,diamond na harmonize nadhani pia wao wanajipendekeza ili mambo yao yaende.

Kukatika Yope saa Saba juani halafu jua la Dodoma siyo starehe
 
Back
Top Bottom