BUCHANAGANDE
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,512
- 480
Binafsi ninaishukuru serikali kuanzisha chuo kikuu cha Dodoma.
Baada ya pongezi hizo; hoja yangu ni hii, serikali ilianzisha kozi ya DISASTER MANAGEMENT CHUONI UDOM NA VIJANA WANAHITIMU KILA MWAKA ACHILIA MBALI MAJANGA YANATOKEA KILA SIKU TANZANIA. Je serikali inawasomesha hawa watu ili iweje kama haiwezi kuwaajiri kwa nini iwasomeshe ilhali inaendelea kulalamika kila siku hakuna wataalamu wa majanga?
NAWASILISHA.
Baada ya pongezi hizo; hoja yangu ni hii, serikali ilianzisha kozi ya DISASTER MANAGEMENT CHUONI UDOM NA VIJANA WANAHITIMU KILA MWAKA ACHILIA MBALI MAJANGA YANATOKEA KILA SIKU TANZANIA. Je serikali inawasomesha hawa watu ili iweje kama haiwezi kuwaajiri kwa nini iwasomeshe ilhali inaendelea kulalamika kila siku hakuna wataalamu wa majanga?
NAWASILISHA.